Wachaga waendelea kukimbiza Wakinga, waongoza Tanganyika utajiri

Wachaga waendelea kukimbiza Wakinga, waongoza Tanganyika utajiri

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,711
Reaction score
5,641
Katika Ardhi ya Tanzania na Zanzibar mambo yanaendelea kama yalivyokuwa, Jamii ya watu wa kihindi na kiarabu wameendelea kukaa juu n kuongoza listi ya matajiri Tanzania.

Lakini kabila la wachaga linalokimbizana utajiri na Kabila la Wakinga, limeendelea kuwa juu, huku watu wawili wa kabila Hilo wakiingia kwenye top 10 ya matajiri zaidi Tanzania wenye asili ya Kiweusi asilia ya Tanganyika. Naweka Orodha hiyo ya matajiri zaidi Tanzania kumi bora Kwa udadavuzi zaidi. Huku Zanzibar nayo ikitoa watu wake Kaa Bakhrersa
IMG-20250819-WA0003.jpg
 
shida moja wao wanatumia uchahawi wakinga sisi tun tunatumia elinu

Kuna mbwa mmoja alitaka kununua kiwanja cha mamayangu tukamkayaa alivyomjingq akaongeza mil 40 akamwambia mama wanao ntawapa kumi ya ziada

wakaja tukanywa fedha zaoo mbwa Wale wamekwenda kwa kaka akawambia labda mfe loh.
Nw all both side n rip
 
mbona gsm hayupo au kwakuwa anashare utajiri na kikwete na samia
 
Hivi huyu GSM mpaka anatoa 10B. Je utataniri wake ni sh. Ngapi kwasabu namba 10 hapo utajiri wake wote ni 37B wakati GSM anatoa 10.1B zawadi
Ukiona mfanyabiashara anajiosgeza karibu na watawala wa nchi, either anaiba rasilimali za nchi, anashirikiana nao kuiba rasilimali za wananchi au anakwepa kodi!
 
shida moja wao wanatumia uchahawi wakinga sisi tun tunatumia elinu

Kuna mbwa mmoja alitaka kununua kiwanja cha mamayangu tukamkayaa alivyomjingq akaongeza mil 40 akamwambia mama wanao ntawapa kumi ya ziada

wakaja tukanywa fedha zaoo mbwa Wale wamekwenda kwa kaka akawambia labda mfe loh.
Nw all both side n rip
Tatizo la watu kushindwa kujieleza kwa maandishi ni kubwa sana.Kwa uandishi huu nyie ndo mnawekeza sana kwenye elimu?Rudi tena shule (ashakum si matusi).
 
Ukiona mfanyabiashara anajiosgeza karibu na watawala wa nchi, either anaiba rasilimali za nchi, anashirikiana nao kuiba rasilimali za wananchi au anakwepa kodi!
Sawa Sawa
 
shida moja wao wanatumia uchahawi wakinga sisi tun tunatumia elinu

Kuna mbwa mmoja alitaka kununua kiwanja cha mamayangu tukamkayaa alivyomjingq akaongeza mil 40 akamwambia mama wanao ntawapa kumi ya ziada

wakaja tukanywa fedha zaoo mbwa Wale wamekwenda kwa kaka akawambia labda mfe loh.
Nw all both side n rip
Pdidy umekunywa nini kwani kwamba ushindwe kuandika
 
Katika Ardhi ya Tanzania na Zanzibar mambo yanaendelea kama yalivyokuwa, Jamii ya watu wa kihindi na kiarabu wameendelea kukaa juu n kuongoza listi ya matajiri Tanzania.

Lakini kabila la wachaga linalokimbizana utajiri na Kabila la Wakinga, limeendelea kuwa juu, huku watu wawili wa kabila Hilo wakiingia kwenye top 10 ya matajiri zaidi Tanzania wenye asili ya Kiweusi asilia ya Tanganyika. Naweka Orodha hiyo ya matajiri zaidi Tanzania kumi bora Kwa udadavuzi zaidi. Huku Zanzibar nayo ikitoa watu wake Kaa BakhrersaView attachment 3446569
Cc Stuxnet johnthebaptist
 
Katika Ardhi ya Tanzania na Zanzibar mambo yanaendelea kama yalivyokuwa, Jamii ya watu wa kihindi na kiarabu wameendelea kukaa juu n kuongoza listi ya matajiri Tanzania.

Lakini kabila la wachaga linalokimbizana utajiri na Kabila la Wakinga, limeendelea kuwa juu, huku watu wawili wa kabila Hilo wakiingia kwenye top 10 ya matajiri zaidi Tanzania wenye asili ya Kiweusi asilia ya Tanganyika. Naweka Orodha hiyo ya matajiri zaidi Tanzania kumi bora Kwa udadavuzi zaidi. Huku Zanzibar nayo ikitoa watu wake Kaa BakhrersaView attachment 3446569
Kwa hans Macha ni uwongo ana zaidi ya hiyo hela. 37 Billion kwake kidogo hätä Davis Mosha ana zaidi ya hiyo.

MIN-me
 
Back
Top Bottom