Naona niweke thread hii itakayokuwa inajadili mambo yanayohusiana na sisi wachanga
Kwanza nianze kwa kuuliza: Hivi Wachaga ni kabila, au ni mkusanyiko wa makabila? Maana makabila mengine mengi wenzetu wana lugha moja ya kikabila. Ila sisi tuna vilugha zaidi ya 10 tofauti! Kwa nini?
Kwa mfano mimi nikiandika kwa kichaga cha kwetu (kiseri) kusema "Naomba maji ya kunywa", ni "Nglihemba mringa wenywa"
Hivi kwa wale ambao sio waseri, hapo mtasemaje? (naamini lugha zitatofautiana sana)....
mboo-nsafooo clemeeee..
khaaa!
Na m.bo.o tena humu zinatafuta nini ?
Hii sredi inahitaji maombi maalum!
niomba madhi ya kunwaa!!
Na Ruwa nechikutarama tupu;
Mrasa uwinge.
What I hate about being a Chagga ni kutojua kiChagga...huwa najisikia am less of a Chagga kila wenzangu wakianza kukimwaga mitandaoni. Inabidi mitafute rafiki wa kike anayejua kiChagga nipige tuition! Am serious...
Umempata mchaga nini Tuko?
Hebu stua kwanza na hiki kitu afu uendelee kuwaita wachaga wenzako...........
:dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::A S tongue: