Mkishalewa VISUNGURA na Kutafuna MKOKAA mnaota ndoto za ovyo sana.Ukikaa ukatafakari sana unagundua Wachaga siyo kabila la kawaida ni Taifa teule.
Mungu aliwakusanya watu kutoka sehemu mbalimbali toka Shungwaya Ethiopia, Congo, Cameroon, Uganda, na wengine toka kusini huko umbali hadi Zimbabwe akawakusanya Kilimanjaro.
Akawaweka chini ya ule Mlima mkuu akawagawa katika Koo zaidi ya 720, akawapa Wamangi wawaongoze na lahaja tofauti, akawatenganisha kwa mabonde ya mito akawabariki.
Hakuna tena Africa kabila lililofikia leval ya kuwa Taifa kama Wachaga
Nyerere mwenyewe hakuthubutu kuanzisha vijiji vya ujamaa kule
Nchi ile iliyobarikiwa Wajerumani walipokuja walifurahia system iliyokuwepo na kuiendeleza hiyo hiyo.
IQ za wachaga ni 120 wakati Watanzania wengine ni 60
Ukifika leo Uchagani unaona kabisa hawa kweli ni Taifa Tofauti.
Watu waliokuwa na Bendera yao, mipango yao na chini ya KDC
Kwanza HAKUNA KABILA linaitwa MCHAGGA.
Hiyo ni matamshi mabaya tu ya wageni badala ya kuwaita WACHAKA (Watu wanaoishi Vichakani) akaita Wachagga.
Kilimanjaro hakuna Wachagga, kuna Warombo, Wamarangu, Wakibosho, Wamachame, Wauru ambao hata kwa lugha hawaelewani.
Huwezi kusema ni kabila moja wakati hawaelewani wakiongea pamoja.