Wachaga na maendeleo-impressed

Wachaga na maendeleo-impressed

Swala la kumpinga mchaga kwenye maendeleo ya nchi hii ni sawa sawa na kuwa mpinga kristo au wale waliopingana na mtume.
Nayasema haya bila woga hata chembe ya uoga maana nimekaa na kutafakari nikagundua hili kabila ni shida na wanasihili sifa kwenye taifa hili.
Nimeanza kuwafikiria kwenye siasa toka vugu vugu la vyama vingi kuanza miaka ya tisini na mbili wachaga ndio wamekuwa msitari wa mbele kuibana na kuinyima serekali ya ccm usingizi "mfano"Agustino Mrema Freeman Mbowe James Mbatia na wengine wengi.
Ukirudi kwenye muziki hawa jamaa wapo pia "mfano"Mr nice Mh.Temba Barnaba na wengine wengi mtanisaidia.Bongo movie Jack wolper Lulu n.k.
Biashara ndio kabisaaa....ndio himaya yao yupo mzee Mengi Mrema wa Presision Air na mabilionea wengine mtanisaidi kwenye sekta ya Elimu ndio wapo wengi hawana hesabu na wanaongoza kwa kuwa na Maprofesa wengi hope kuliko kabila jingine lolote.
Bila kusahau hata JF mwanzilishi wake ni mangi anajulikana kwa jina la Mushi najuwa wapo wengi na kina Max ila nasikia wazo lilikuwa la Mushi
Kwa mtiririko huu mdogo sina budi kusema shikamooooni wachaga na ipo haja kubwa ya kujifunza kutoka kwa hawa watu ili nasi tufikie walipo kuliko kuendelea kuwabeza kila siku.
Narudia tena na tena SHIKAMOONI kina mangi wote nyie ni kioo kwa jamii yetu ya Watanzania.
Asanteni!

Polojo za namna hii hazitoifikisha nchi popote mangi MEKU
 
Mkuu kubaliana na hali halisi acha chuki nimekuambia kuna cha kujifunza toka kwa hawa jamaa amka nenda kaanzishe kabiashara kako kama wafanyavyo hawa wenzetu acha chuki za kijinga na kunywa kahawa vijuweni!
Nikichukia ndio naingiza pesa au? mi nimekwambia ninachokiona clearly and logiacally. Unajipendekeza kipunga.
 
Nikichukia ndio naingiza pesa au? mi nimekwambia ninachokiona clearly and logiacally. Unajipendekeza kipunga.

Nachokiona toka kwako ni kile nilichokitaadharisha kabla nadhani unachembechembe za wivu wa kike sio kosa lako!
 
Nachokiona toka kwako ni kile nilichokitaadharisha kabla nadhani unachembechembe za wivu wa kike sio kosa lako!
Nafuu wivu wa kike kuliko upunga unaofanya hapo.., una mme wa kichagga nini..?, stupid!
Ukinijibu tu basi jibu ni ndio.., ukikaa kimya we punga.
 
Nafuu wivu wa kike kuliko upunga unaofanya hapo.., una mme wa kichagga nini.., stupid!

Yani pilau utalijua tu huwa linaharufu yake flani bila hata chembe na mashaka yoyote wewe ni P kwa ng'O samahani lakini najuwa nitakuwa nimefungulia povu ila nalikaribisha Joooo!
 
Nafuu wivu wa kike kuliko upunga unaofanya hapo.., una mme wa kichagga nini..?, stupid!
Ukinijibu tu basi jibu ni ndio.., ukikaa kimya we punga.

umemkomesha, aache sifa za kijinga. anaanza mambo ya ukabila karne ya 21 na nusu asaiv.
 
umemkomesha, aache sifa za kijinga. anaanza mambo ya ukabila karne ya 21 na nusu asaiv.

Wanapotamka na kuupalilia ukabila Ccm huwa hamsikii wala kuona ila mtu akilisifu kabila flani ni ukabila acheni ujinga badilikeni
Toka lini kulisifu kabila kwa kitu kizuri au kwa jitiada zao ikawa ukabila?au mnaunga tu hoja mkono hata kama ni za kipuuzi!
 
Yani pilau utalijua tu huwa linaharufu yake flani bila hata chembe na mashaka yoyote wewe ni P kwa ng'O samahani lakini najuwa nitakuwa nimefungulia povu ila nalikaribisha Joooo!

Acheni ubishi wa kijinga nawapeni mtihani atakaeenda huko uchagani mwezi huu naomba aje na mrejesho hapa wa picha angalao muwatoe wenzenu tongotongo sio wote wenye uwezo wa kwenda kujionea jinsi kulivyo nadhani wataenjoy kuliko maelezo mliopo huko mtupe mirejesho.
 
Acheni ubishi wa kijinga nawapeni mtihani atakaeenda huko uchagani mwezi huu naomba aje na mrejesho hapa wa picha angalao muwatoe wenzenu tongotongo sio wote wenye uwezo wa kwenda kujionea jinsi kulivyo nadhani wataenjoy kuliko maelezo mliopo huko mtupe mirejesho.
haukuwa ubishi, ni kujipendekeza kibwabwajiko tu.
 
Madaktari bingwa na wa kawaida wachaga wanachukuwa asilimia kubwa sana. Hata ukiangalia Muhimbili mabingwa wengi ni wao. Shikamooni
 
Swala la kumpinga mchaga kwenye maendeleo ya nchi hii ni sawa sawa na kuwa mpinga kristo au wale waliopingana na mtume.
Nayasema haya bila woga hata chembe ya uoga maana nimekaa na kutafakari nikagundua hili kabila ni shida na wanasihili sifa kwenye taifa hili.
Nimeanza kuwafikiria kwenye siasa toka vugu vugu la vyama vingi kuanza miaka ya tisini na mbili wachaga ndio wamekuwa msitari wa mbele kuibana na kuinyima serekali ya ccm usingizi "mfano"Agustino Mrema Freeman Mbowe James Mbatia na wengine wengi.
Ukirudi kwenye muziki hawa jamaa wapo pia "mfano"Mr nice Mh.Temba Barnaba na wengine wengi mtanisaidia.Bongo movie Jack wolper Lulu n.k.
Biashara ndio kabisaaa....ndio himaya yao yupo mzee Mengi Mrema wa Presision Air na mabilionea wengine mtanisaidi kwenye sekta ya Elimu ndio wapo wengi hawana hesabu na wanaongoza kwa kuwa na Maprofesa wengi hope kuliko kabila jingine lolote.
Bila kusahau hata JF mwanzilishi wake ni mangi anajulikana kwa jina la Mushi najuwa wapo wengi na kina Max ila nasikia wazo lilikuwa la Mushi
Kwa mtiririko huu mdogo sina budi kusema shikamooooni wachaga na ipo haja kubwa ya kujifunza kutoka kwa hawa watu ili nasi tufikie walipo kuliko kuendelea kuwabeza kila siku.
Narudia tena na tena SHIKAMOONI kina mangi wote nyie ni kioo kwa jamii yetu ya Watanzania.
Asanteni!

Watembelee Kirua vunjo kila baada ya nyumba kumi kuna Professor! Hii huenda ikaingia kwenye kumbukumbu za dunia
 
nilibahatika mwezi uliopita kutembelea kilimanjaro yote..kikazi nilikua katika ukaguzi wa vituo vya BRAC
ki ukweli kama mikoa mingine michache, wachaga wapo very patriot when it comes to developments..
vijijini kutoka machme mpaka masama ujenzi wa barabara, nilihangaika kupata hoteli, maana kila mtu anakwake, hoteli alale nani??:sick:
 
Jamani penye ukweli na usemwe tu tusipende kuwa na chuki zisizo na maana wachagga kama makabila mengine wapo juu na makabila mengine waige karibuni Moshi na Arusha huku muone.

ukiniuliza tofauti ya mjini na kijijini Moshi ni ngumu sana kuipata watu wanafurahia maisha tuwapo mjini hata ukifikiria kwenda nyumbani hauumwi kichwa zaidi unakuwa addictive exciting :glasses-nerdy:
 
Wakuu salaam,


jana nilibahatika kwa Mara ya kwanza kutembelea mkoa wa Kilimanjaro mitaa ya Marangu for the first time. Kwa kweli I was hugely impressed and I can only say big salute my fellow Tanzanians. I must say Mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa. Napenda sana kwetu na kila mwaka as long as it is practicable possible, lazima niende home na nifanye something positive. Ila Jana nimejifunza kikubwa in my life.


wengi wetu tunawajudge wachaga Kama selfish, conmen wanaupendeleo wa Watu wao nk. I personally have never believed in that. Lakini Jana I was really impressed na mwamko wa Hawa ndugu zetu. The streets are super clean, mitaa imepangika as if kuna some serious planning officers. Kila nyumba in garden nzuri, michongoma imekatwa kwa ulinganifu wa Hali ya juu. Migomba ina afya na most people look happy and seem to have hope and sense of purpose in life. Lami iko vizuri and super clean. Though some critics can argue kwamba wamependelewa na hizi lami, lakini kiukweli naamini hata hii lami isingekuwepo Watu wange kuwa vizuri tuu. Kila nyumbani kwa mtu kuna garden na bara bara nzuri inayofika mbele ya mlango. By the way most of these roads it's clear ni self initiatives za watu kujipanga na kuzitengeneza. Nyumba ni za kawaida ila very standard. Kiukweli, I wished watanzania wengi tungejifunza kwa Hawa ndugu zetu. Ardhi bado ina uoto wa asili, maji ya chemichemi ni mazuri hakuna mfano. Vyanzo vya maji vinatunzwa vema sana. Hakuna ufugaji wa ajabu ajabu. Naamini Hali ya hewa ya uchagani hata kwingine ipo..lakini chagas have mastered their destiny.

lengo la huu Uzi sio kusifia wachaga. Ila Napenda watanzania wenzangu tujifunze. Kiukweli huhitaji ruzuku kuwa na garden nzuri au kuwa na barabara nzuri inayofika kwako. Kiukweli, personally nimepata changamoto ya maendeleo. Mbezi na mikocheni kuna maghorofa mazuri sana lakini nje ya geti maji ni machafu yametuama. I never saw that in my Marangu trip. Watanzania tuache Kelele nyingine, tufanye kazi. Kiukweli Sasa naelewa kwa nini mchaga kila December lazima akahesabiwe. Kuna nyumba nimeona mgombani, I have never seen them in bongo! We can accuse the way we want...lakini I must say, you can't bit them, join them.

Kiufupi Nimekwenda Marangu nimeona, nimejifunza na naamini mazuri yatanisadia. Kwa kweli I say my fellow Tanzanians from Chagaland big up sana na don't listen to your critics. Chonga mbele. Taifa letu litaendelea kwa Watu positive Kama nyinyi. Hao wanaolalamika kila Siku tuwaache kwanza. Tufanye watajifunza.

pamoja sana na Jpili njema!

Masanja

Aikambe Masanja
 
Last edited by a moderator:
Woi wewe ulienda marangu tu arawa ?ungeenda machame ndo ungejua kwl wachaga tuko vzr. hizo nyumba zilivyoangushwa huo mpangilio yaan siwez kuelezea ni mtu ukajionee mwenyewe tunakumbuka nyumbani,tunatafuta pesa,
tunawatunza Wazee vzr kwahiyo siri ni ile baraka ya amri kuu za Mungu waheshimu baba yako na mama yako upate miaka mingi na heri duniani..sifa nyingine ni nadra mchaga kukataa mtt kabisa hiyo haipo laana hiyo pia inaepukwa...Mimi kwetu Uru shimbwe..aisee hali ya hewa na hiyo miti ni kama kumefungwa Ac..mpangilio wa nyumba usiseme!! siyo nyumba ni nyumba za kisasa n kama wanashindana Hiv maji n mengi balaaa ..ila nakir machame wametushinda kwa kila kitu machame kunatisha kwa uzuri unaweza ukahis hauko bongo siwez kuacha kuifikir machame kwa uzur wake ila wanawake Wa kimachame ogopa wanabaguliwa kuolewa hata na wachaga wenzao, wana mapenzi ya kihind cjui tuseme kitanga ila kama wachaga wenzao wanawaogopa ina maana(…...….…........)asikiaye na afahamu usiseme hukuambiwa zile rumors unazosikia zina ukwl ndan!! Ote chi owenyi ngaamba foo arawa wandu wakeamba Hahaaahahaaa leka chirie kitochi kimu mbele
aika MBE.
 
Back
Top Bottom