Wachaga na maendeleo-impressed

Wachaga na maendeleo-impressed

ndugu ulichoandika ni kweli tupu,ila ni kwa uchache sana.
*chagga land ilipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipopaona
* miaka ya 1800 mwishoni kulikuwa na gazeti la kila wiki liliitwa komkyaa
*pia miaka hiyo kulikuwa na aina fulani ya chama cha ushirika...ambacho miaka ya 1934 kilikuja kuwa kncu ya mwanzo achana na hii ya (1984)iliyokaa kisanii.
*miaka hiyo hiyo ya 1800 mwishoni kulikuwa na nembo ya chagga ina akama ya mlima klm na chui anaruka juu yake.
*miaka hiyo ya 1800 kulikuwa na biblia ya kichagga
*pia vitabu vya nyimbo na makala mbali mbali zilikuwepo miaka hiyo karne 2 zilizopita.
*****kwa kifupi ndiyo waliobahatika kuelimika mwanzo........piga picha kwingine miaka hiyo kulikuwaje......halafu tufahamishe

Wewe unaifahamu vizuri historia ya Wachagga!!

Hongera.
 
Karibu sanaaa moshi njoo na huku boma mbuzi huku moshi mjini ujionee kulivyo kusafi...
 
Ukifka rombo ndio utashangaa zaidi,wkt wanajenga shule za kata zinapasukapasuka kabla ya mwaka,rombo shule zakata zimejengwa magorofa,by the way in tz is only sehemu kuna vijiji vyenye bank,na university!
 
Ukifka rombo ndio utashangaa zaidi,wkt wanajenga shule za kata zinapasukapasuka kabla ya mwaka,rombo shule zakata zimejengwa magorofa,by the way in tz is only sehemu kuna vijiji vyenye bank,na university!

Kwani kile cha Masoka sijui nacho ni chuo kikuu mbona kipo moshi rural - kibosho...

Sio Rombo tu.
 
Kuna ukweli. Uchagani kuna maendeleo makubwa. Chukua mfano wa Moshi stand tu, ukikutwa hata unatupa karatasi ya vocha unapigwa faini ya tsh 50,000/=
 
Orait orait.........so.......mpaka sasa mpo wangapi mnaokuja kututembelea........?
 
Wakuu salaam,


jana nilibahatika kwa Mara ya kwanza kutembelea mkoa wa Kilimanjaro mitaa ya Marangu for the first time. Kwa kweli I was hugely impressed and I can only say big salute my fellow Tanzanians. I must say Mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa. Napenda sana kwetu na kila mwaka as long as it is practicable possible, lazima niende home na nifanye something positive. Ila Jana nimejifunza kikubwa in my life.


wengi wetu tunawajudge wachaga Kama selfish, conmen wanaupendeleo wa Watu wao nk. I personally have never believed in that. Lakini Jana I was really impressed na mwamko wa Hawa ndugu zetu. The streets are super clean, mitaa imepangika as if kuna some serious planning officers. Kila nyumba in garden nzuri, michongoma imekatwa kwa ulinganifu wa Hali ya juu. Migomba ina afya na most people look happy and seem to have hope and sense of purpose in life. Lami iko vizuri and super clean. Though some critics can argue kwamba wamependelewa na hizi lami, lakini kiukweli naamini hata hii lami isingekuwepo Watu wange kuwa vizuri tuu. Kila nyumbani kwa mtu kuna garden na bara bara nzuri inayofika mbele ya mlango. By the way most of these roads it's clear ni self initiatives za watu kujipanga na kuzitengeneza. Nyumba ni za kawaida ila very standard. Kiukweli, I wished watanzania wengi tungejifunza kwa Hawa ndugu zetu. Ardhi bado ina uoto wa asili, maji ya chemichemi ni mazuri hakuna mfano. Vyanzo vya maji vinatunzwa vema sana. Hakuna ufugaji wa ajabu ajabu. Naamini Hali ya hewa ya uchagani hata kwingine ipo..lakini chagas have mastered their destiny.

lengo la huu Uzi sio kusifia wachaga. Ila Napenda watanzania wenzangu tujifunze. Kiukweli huhitaji ruzuku kuwa na garden nzuri au kuwa na barabara nzuri inayofika kwako. Kiukweli, personally nimepata changamoto ya maendeleo. Mbezi na mikocheni kuna maghorofa mazuri sana lakini nje ya geti maji ni machafu yametuama. I never saw that in my Marangu trip. Watanzania tuache Kelele nyingine, tufanye kazi. Kiukweli Sasa naelewa kwa nini mchaga kila December lazima akahesabiwe. Kuna nyumba nimeona mgombani, I have never seen them in bongo! We can accuse the way we want...lakini I must say, you can't bit them, join them.

Kiufupi Nimekwenda Marangu nimeona, nimejifunza na naamini mazuri yatanisadia. Kwa kweli I say my fellow Tanzanians from Chagaland big up sana na don't listen to your critics. Chonga mbele. Taifa letu litaendelea kwa Watu positive Kama nyinyi. Hao wanaolalamika kila Siku tuwaache kwanza. Tufanye watajifunza.

pamoja sana na Jpili njema!

Masanja

Umeoa kama Bado

Oa marangu hukohuko kwingine Chaka utawachia urithi kabla Mungu ajapenda
 
Swala la kumpinga mchaga kwenye maendeleo ya nchi hii ni sawa sawa na kuwa mpinga kristo au wale waliopingana na mtume.
Nayasema haya bila woga hata chembe ya uoga maana nimekaa na kutafakari nikagundua hili kabila ni shida na wanasihili sifa kwenye taifa hili.
Nimeanza kuwafikiria kwenye siasa toka vugu vugu la vyama vingi kuanza miaka ya tisini na mbili wachaga ndio wamekuwa msitari wa mbele kuibana na kuinyima serekali ya ccm usingizi "mfano"Agustino Mrema Freeman Mbowe James Mbatia na wengine wengi.
Ukirudi kwenye muziki hawa jamaa wapo pia "mfano"Mr nice Mh.Temba Barnaba na wengine wengi mtanisaidia.Bongo movie Jack wolper Lulu n.k.
Biashara ndio kabisaaa....ndio himaya yao yupo mzee Mengi Mrema wa Presision Air na mabilionea wengine mtanisaidi kwenye sekta ya Elimu ndio wapo wengi hawana hesabu na wanaongoza kwa kuwa na Maprofesa wengi hope kuliko kabila jingine lolote.
Bila kusahau hata JF mwanzilishi wake ni mangi anajulikana kwa jina la Mushi najuwa wapo wengi na kina Max ila nasikia wazo lilikuwa la Mushi
Kwa mtiririko huu mdogo sina budi kusema shikamooooni wachaga na ipo haja kubwa ya kujifunza kutoka kwa hawa watu ili nasi tufikie walipo kuliko kuendelea kuwabeza kila siku.
Narudia tena na tena SHIKAMOONI kina mangi wote nyie ni kioo kwa jamii yetu ya Watanzania.
Asanteni!
 
Swala la kumpinga mchaga kwenye maendeleo ya nchi hii ni sawa sawa na kuwa mpinga kristo au wale waliopingana na mtume.
Nayasema haya bila woga hata chembe ya uoga maana nimekaa na kutafakari nikagundua hili kabila ni shida na wanasihili sifa kwenye taifa hili.
Nimeanza kuwafikiria kwenye siasa toka vugu vugu la vyama vingi kuanza miaka ya tisini na mbili wachaga ndio wamekuwa msitari wa mbele kuibana na kuinyima serekali ya ccm usingizi "mfano"Agustino Mrema Freeman Mbowe James Mbatia na wengine wengi.
Ukirudi kwenye muziki hawa jamaa wapo pia "mfano"Mr nice Mh.Temba Barnaba na wengine wengi mtanisaidia.Bongo movie Jack wolper Lulu n.k.
Biashara ndio kabisaaa....ndio himaya yao yupo mzee Mengi Mrema wa Presision Air na mabilionea wengine mtanisaidi kwenye sekta ya Elimu ndio wapo wengi hawana hesabu na wanaongoza kwa kuwa na Maprofesa wengi hope kuliko kabila jingine lolote.
Bila kusahau hata JF mwanzilishi wake ni mangi anajulikana kwa jina la Mushi najuwa wapo wengi na kina Max ila nasikia wazo lilikuwa la Mushi
Kwa mtiririko huu mdogo sina budi kusema shikamooooni wachaga na ipo haja kubwa ya kujifunza kutoka kwa hawa watu ili nasi tufikie walipo kuliko kuendelea kuwabeza kila siku.
Narudia tena na tena SHIKAMOONI kina mangi wote nyie ni kioo kwa jamii yetu ya Watanzania.
Asanteni!
Kwani hawa si waTanzania kama mimi na wewe..??! hivyo hata mimi marhaba, acha kujipendekeza kipunga.
 
Kwani hawa si waTanzania kama mimi na wewe..??! hivyo hata mimi marhaba, acha kujipendekeza kipunga.

Mkuu kubaliana na hali halisi acha chuki nimekuambia kuna cha kujifunza toka kwa hawa jamaa amka nenda kaanzishe kabiashara kako kama wafanyavyo hawa wenzetu acha chuki za kijinga na kunywa kahawa vijuweni!
 
Back
Top Bottom