Sir Good
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 1,031
- 412
hamna kitu, huyu jamaa atakua ametokea mkoa wa wachafu tu, i bet, ni wa KIGOMA.
Jaribu kuwa mstaarabu japo kidogo.
hamna kitu, huyu jamaa atakua ametokea mkoa wa wachafu tu, i bet, ni wa KIGOMA.
Acha kuzalilisha watu mkuu,.
Kuna wenzako wengi sana hapa Jamvini wanatokea Kigoma usiwadhalilishe kiivyo.
lakini hata wewe una mkoa wako, kwanini usiusifie?
Acha chuki na roho mbaya za kijinga!
Mkuu nilioa Siku nyingi huko mitaa ya kwetu. Kwangu kuko poa kaka...km 1200 toka Dar ila nakamata dstv kijijini...Uliza kingine bro.....
hamna kitu, huyu jamaa atakua ametokea mkoa wa wachafu tu, i bet, ni wa KIGOMA.
Mbona una dharau hvi kwahyo una zalilisha wa Kigoma kisa kasema ukweli au
nimedhalilisha nan? Huju hata uchafu ni sifa pia.
Nahisi kwako wewe ni Nairobi au New York kama unaikandya Kigoma! Vinginevyo sitakuelewa.hamna kitu, huyu jamaa atakua ametokea mkoa wa wachafu tu, i bet, ni wa KIGOMA.
Umefika Marangu tu umepanic , je ungefika Machame kwa wapalestina si ndio ungepagawa!!
Acha kuzalilisha watu mkuu,.
Kuna wenzako wengi sana hapa Jamvini wanatokea Kigoma usiwadhalilishe kiivyo.
lakini hata wewe una mkoa wako, kwanini usiusifie?
Acha chuki na roho mbaya za kijinga!