Wachaga na maendeleo-impressed

Wachaga na maendeleo-impressed

Woi wewe ulienda marangu tu arawa ?ungeenda machame ndo ungejua kwl wachaga tuko vzr. hizo nyumba zilivyoangushwa huo mpangilio yaan siwez kuelezea ni mtu ukajionee mwenyewe tunakumbuka nyumbani,tunatafuta pesa,
tunawatunza Wazee vzr kwahiyo siri ni ile baraka ya amri kuu za Mungu waheshimu baba yako na mama yako upate miaka mingi na heri duniani..sifa nyingine ni nadra mchaga kukataa mtt kabisa hiyo haipo laana hiyo pia inaepukwa...Mimi kwetu Uru shimbwe..aisee hali ya hewa na hiyo miti ni kama kumefungwa Ac..mpangilio wa nyumba usiseme!! siyo nyumba ni nyumba za kisasa n kama wanashindana Hiv maji n mengi balaaa ..ila nakir machame wametushinda kwa kila kitu machame kunatisha kwa uzuri unaweza ukahis hauko bongo siwez kuacha kuifikir machame kwa uzur wake ila wanawake Wa kimachame ogopa wanabaguliwa kuolewa hata na wachaga wenzao, wana mapenzi ya kihind cjui tuseme kitanga ila kama wachaga wenzao wanawaogopa ina maana(…...….…........)asikiaye na afahamu usiseme hukuambiwa zile rumors unazosikia zina ukwl ndan!! Ote chi owenyi ngaamba foo arawa wandu wakeamba Hahaaahahaaa leka chirie kitochi kimu mbele
aika MBE.
ameen proud to be chaga
 
Wakuu salaam,


jana nilibahatika kwa Mara ya kwanza kutembelea mkoa wa Kilimanjaro mitaa ya Marangu for the first time. Kwa kweli I was hugely impressed and I can only say big salute my fellow Tanzanians. I must say Mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa. Napenda sana kwetu na kila mwaka as long as it is practicable possible, lazima niende home na nifanye something positive. Ila Jana nimejifunza kikubwa in my life.


wengi wetu tunawajudge wachaga Kama selfish, conmen wanaupendeleo wa Watu wao nk. I personally have never believed in that. Lakini Jana I was really impressed na mwamko wa Hawa ndugu zetu. The streets are super clean, mitaa imepangika as if kuna some serious planning officers. Kila nyumba in garden nzuri, michongoma imekatwa kwa ulinganifu wa Hali ya juu. Migomba ina afya na most people look happy and seem to have hope and sense of purpose in life. Lami iko vizuri and super clean. Though some critics can argue kwamba wamependelewa na hizi lami, lakini kiukweli naamini hata hii lami isingekuwepo Watu wange kuwa vizuri tuu. Kila nyumbani kwa mtu kuna garden na bara bara nzuri inayofika mbele ya mlango. By the way most of these roads it's clear ni self initiatives za watu kujipanga na kuzitengeneza. Nyumba ni za kawaida ila very standard. Kiukweli, I wished watanzania wengi tungejifunza kwa Hawa ndugu zetu. Ardhi bado ina uoto wa asili, maji ya chemichemi ni mazuri hakuna mfano. Vyanzo vya maji vinatunzwa vema sana. Hakuna ufugaji wa ajabu ajabu. Naamini Hali ya hewa ya uchagani hata kwingine ipo..lakini chagas have mastered their destiny.

lengo la huu Uzi sio kusifia wachaga. Ila Napenda watanzania wenzangu tujifunze. Kiukweli huhitaji ruzuku kuwa na garden nzuri au kuwa na barabara nzuri inayofika kwako. Kiukweli, personally nimepata changamoto ya maendeleo. Mbezi na mikocheni kuna maghorofa mazuri sana lakini nje ya geti maji ni machafu yametuama. I never saw that in my Marangu trip. Watanzania tuache Kelele nyingine, tufanye kazi. Kiukweli Sasa naelewa kwa nini mchaga kila December lazima akahesabiwe. Kuna nyumba nimeona mgombani, I have never seen them in bongo! We can accuse the way we want...lakini I must say, you can't bit them, join them.

Kiufupi Nimekwenda Marangu nimeona, nimejifunza na naamini mazuri yatanisadia. Kwa kweli I say my fellow Tanzanians from Chagaland big up sana na don't listen to your critics. Chonga mbele. Taifa letu litaendelea kwa Watu positive Kama nyinyi. Hao wanaolalamika kila Siku tuwaache kwanza. Tufanye watajifunza.

pamoja sana na Jpili njema!

Masanja
wachaga mna sifa za kijinga km wakenya, vyuma vimekaza mnatafuta kiki mjulikane, ww ni mchaga pure hakuna msukuma mjinga aanze kusifia wapenda sifa za kijinga. umaskini ni mkali sana uchagani ndiyo maana hawakai kwako wanaishi km wakimbizi. wachaga wanapenda sana sifa tena za kijinga, akijenga kanyumba ti sifa kibao, akinnunu kagari ndiyo usiseme, wanaishi show off life
 
wachaga mna sifa za kijinga km wakenya, vyuma vimekaza mnatafuta kiki mjulikane, ww ni mchaga pure hakuna msukuma mjinga aanze kusifia wapenda sifa za kijinga. umaskini ni mkali sana uchagani ndiyo maana hawakai kwako wanaishi km wakimbizi. wachaga wanapenda sana sifa tena za kijinga, akijenga kanyumba ti sifa kibao, akinnunu kagari ndiyo usiseme, wanaishi show off life
Hahahaha........acha nicheke maana hujui unachoongea. We fika ujionee
 
Back
Top Bottom