Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Ndio kuandika ni mbadala wa kuongea hapa jf mabubu ni another case sasa
Hadî hapo hujaona tofauti kati ya neno mbadala na sawa sawa?0
Ndio kuandika ni mbadala wa kuongea hapa jf mabubu ni another case sasa
Hadî hapo hujaona tofauti kati ya neno mbadala na sawa sawa?0
No research no Rights to speak tuwekee evidence bila hivo huo ni uzushi kama mwingine
we chalii ni ---- xana,kama hujui kitu kausha siyo lazima uandike,unakurupuka utakuja pasuliwa yai au wewe ndiyo ndondocha mwenyewe,watu tunapiga mzigo,ukizingua ngiki kaba kyandu! Ngashtuka chalii
mambo ya giza hayana evidence.....ili ujue lazima utendewe au uwe unatenda haya mamboNo research no Rights to speak tuwekee evidence bila hivo huo ni uzushi kama mwingine
Tunaogopa uchawi sana. Kama ni kisasi, tunafanya live. Kama ni kazi, tunaifanya kwa bidii na mafanikio yanakuja. Kutumia uchawi ni ishara ya uoga, na udhaifu.
wachagga wanatoa watoto mandondocha
hutaki unaacha sina muda wa kubembelezana
unataka research ipi ??
evidence ya nini picha au maneno ??
Tunaogopa uchawi sana. Kama ni kisasi, tunafanya live. Kama ni kazi, tunaifanya kwa bidii na mafanikio yanakuja. Kutumia uchawi ni ishara ya uoga, na udhaifu.
Mkimakiza kujadili........tutakuja.........
Hivi 'NKUMBA VANA' ILIKUWA KWA WAPARE AU WACHAGA?
Hivi wachawi wapo au hawapo ??
Weeee,kuna kabila duniani washirikina kuliko wachaga?hakuna mchaga anayefanya biashara bila ushirikina maana kwa tamaa yao ya kila mtu kutaka mali kwa gharama yoyote ndugu na ndugu huchukuana misukule,pia wengine huwaroga wake zao na wengine huwafanya watoto wao mataahira ili tu wapate mali,mimi niko Sgd matajiri wa kichaga karibu wote hapa kila mmoja ana mtoto aliyemgeuza taahira au msukule ili wapate mali...mimi sinunui kitu duka ya mchaga,kiruuuuuu!
Research ya nini?
Alichosema wala sio uongo. Nina nasaba na wachaga tena huko Rombo ndio kwetu.
Hajadanganya
Hiyo biashara haina maslahi ukuona hivyo
Weeee,kuna kabila duniani washirikina kuliko wachaga?hakuna mchaga anayefanya biashara bila ushirikina maana kwa tamaa yao ya kila mtu kutaka mali kwa gharama yoyote ndugu na ndugu huchukuana misukule,pia wengine huwaroga wake zao na wengine huwafanya watoto wao mataahira ili tu wapate mali,mimi niko Sgd matajiri wa kichaga karibu wote hapa kila mmoja ana mtoto aliyemgeuza taahira au msukule ili wapate mali...mimi sinunui kitu duka ya mchaga,kiruuuuuu!