Hilo kanisa liko sehemu gani mkuu?Yes
Wanaitwa 'viti'
Hapa naposali kuna dada 1 alikuja tu ktk kuhangaika ili mwanae aombewe alikuwa kafanywa hivyo na mjomba ake (kaka wa huyo dada) bt hii imekuja kujiulikana baadae baada ya maombi!
Hyu kaka mtu kamjengea nyumba na kamnunulia gari za bness dada ake! Watu wakijua ni upendo tu kwa dada ake coz kaka ni tajiri sana na alikuwa nje ya nchi!sshv karudi hana ht kumi....
Dada Kaja church. ....maombi yalipoanza tu ghafla cm yake ikaita na mchungaji akamruhusu aipokee tu hyo cm, kumbe alikuwa yule kaka ake, akamuuliza uko wapi, dada akamwelezea, akaambiwa amrudishe huyo mtt na asiombewe!
Ikabidi amwambie mchungaji na team yake, mchungaji hakumlazimisha akamwambia nenda!,bt kuna wamama wakamsema ndo akarudi church!
Baada ya maombi Mungu alimfungua yule mtt....taratibu akaanza kurudi kwenye hali yake....baada ya siku chache mjomba mtu kapiga cm kwa dada ake akamwambia'hii ndo shukrani yako kwa yote niliyokutendea?
Kwani umeshindwa kuzaa mtt mwingine na ukaniachia hyu?'
Hapo ndo dada akaelewa kinachoendelea! (Coz church huwa hawasemi kuepusha ugomvi)
Hiv navyoandika anko kafilisika na mtt mzima kabisa!
Hapa naposali mie wachaga asilimia 70 full kukamatana uchawi wakat wa maombi. ..zile nafsi huwa zinaongea
lipo wakinga sio wachawi
aibu utaona wewe
mkuu rafiki yangu alinieleza kuwa walivyokuwa wadogo wakiwanaelekea shule njiani walikuta watu wamepasua nazi na kuweka vihela katikati ya barabara na kufanya mambo yao ila jamaa walikuwa kama wanafunzi kama 7 hivi walipigana vikumbo sana kukimbilia kuokota zile hela na kula zile nazi hadi sasa jamaa ni wazima na hawana pressure na mtu.
wasinewezapata pressure au kuwa kuku wa kienyeji kwani hapa dawa ilikuwa ni hao watoto kuokota hizo pesa na kula nazi ili jamaa aendelee kuuza mali dukani kwake. Yaani hiyo ilikuwa ni sadaka tu. Wachagga bwana kwa sayansi za kijamii shikamoo zao.
Kaka utajiri ni nidhamu ya matumizi tu
mkuu nenda popote usipomkuta mchaga kimbia hapafaiIla kwa mchagga shidaaaaz. Just don't trust them, wao ni sawa na Nigerians katika sayansi ya jamii.