Katika kipindi chake aliheshimu katiba na alikuwa na uvumilivu. Hakuwahi kujikweza na kutisha wengine kwa kusema "usicheze na mimi". Aliwathamini hata wenye mawazo tofauti. Alithamini na kujenga usawa miongoni mwa aliyo waongoza.
Ni nani huyu kwenye hii picha.? Hapa ni kipindi ambacho hata neno "nchi' alilitamka "inchi".
Ni nani huyu kwenye hii picha.? Hapa ni kipindi ambacho hata neno "nchi' alilitamka "inchi".