Wabunge wetu na mabinti wa vyuo!

Wabunge wetu na mabinti wa vyuo!

Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!

kaka si useme tu kwa uwazi kwamba ulipokonywa ka demu kako? kwa nini unazunguka zunguka? punguza hasira kwa wabunge wetu njomba, hayo ni maisha yao private (kazi na dawa in case of) kwa hiyo usichanganye mambo.

Acha wawatumikie waananchi waliowachangua, na wewe next time kuwa mwangalifu, mwanaume halisi hanyanganyagwi demu kamwe!!
 
wanafunzi wa chuo kikuu unawaita watoto?wanafunzi wa chuo ni zaidi miaka 18,wanaruhusiwa kuoa/kuolewa hivyo sioni kama anaharibiwa maisha kwani ana akili za kutosha.Pengine mabinti ndio wanawaharibu wabunge kwa kuwachuna.Lakini vilevile ungetakiwa uwe na ushahidi kwani hizi tuhuma ni nzito

achana na huyu jamaa, kapokonywa mchumba :becky:
 
Thibitisha kauli yako. No evidence no right to speak!
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!
 
Naona humu imejaa Mibunge kibao na majina feki na imekuwa MIKALI KWELIKWELI.

Wake za Wabunge, nyie kaeni tu mfaidi hizo hela ila mnazigawana na vibinti kibao....

Hii sasa hivi imekuwa kawaida sana duniani na mabinti wa University wanasema ku-PIMP.

Mie nikija Dodoma wala wasijaribu maana ntakuwa nawaimbia wimbo wa 50 Cents.....

 
Last edited by a moderator:
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!

Ni vyema tuangalie na upande wa pili wa shilingi - je, hao wanawake wanafunzi wanafanya vizuri kutembea na wabunge? Je, sio kwamba wamekwenda kusoma pale? Pia tutofautishe kati ya sekondari na chuo kikuu. Mbona mambo hayo ya wanafunzi wa kike wa vyuo vikuu kutembea na wafanyabiashara, vigogo, wauza genge yapo toka siku nyingi - mafano pale UDSM hall III na VII wakati mimi nasoma ilikuwa balaa - wao na KCJ na sisi na KCC!
 
Nchi hii imelaaniwa !
Bila watu kumrudia Mungu tutabaki kwenye laana hii vizazi na vizazi.
Tunahitaji watu wanaomuogopa Mungu kutuongoza

Mungu warehemu wale wanaokuogopa wewe, wale wanaotetemeka wakisikia neno lako na uwafanye kuwa viongozi wa nchi yetu!
Amen.
 
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!

Sijaipenda hii tabia ya waheshimiwa hata kama kuna watu wanasema kuwa hiyo ni private life ya mtu lakini wanakosea hawa ni public figures wanatakiwa ku-behave kwa jamii waliyojitolea kuiongoza. Hawa ndio tunaowategemea watoe muoongozo kwa jamii kuwa na maadili kisha wao ndio wanayamomonyoa.
Sasa mkuu kazi ndogo kuwatia adabu hawa, nikuombe ufanye kazi ndogo tu na rahisi kabisa, nakiri namba za magari na muda yanapofika hapo chuoni kisha watajua utamu wa kutuvunjia heshima kwa gharama zetu wenyewe. Tutawashtaki kwa wapiga kura wao na familia zao tukiwa na ushahidi.
 
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?

Nawakilisha wadau!!!

Kama ni kweli,hao wanafunzi ni wapumbavu pamoja na hao wabunge wao............
 
Nchi iliyojaa kila aina ya uzinzi. Watanzania hawana aibu kushabikia uzinzi wa viongozi kwa kisingizio cha private life. Poor them!
 
Hao mabinti wako zaidi ya miaka 18 na wanayo haki ya kufurahia maisha watakavyo. Hiyo ndio aina ya maisha waliyoichagua kwa sasa. Kuwa wanafunzi kusiwanyime haki yao ya msingi. kwangu sion tatizo kwa mabinti isipokuwa kwa wabunge ambao wameoa na wanaendeleza ufuska wao
Tatizo sio kunyimwa kunyimwa haki yao ya msingi bali tunahofia kuwa na wasomi walioambukizwa ukimwi na watu waliokwisha choka kiafya.Wakitaka haki ya msingi wafuate utaratibu.Siyo kwenda kwa watu wenye wake zao.
 
weka namban za magari hayo yanayo vinjari hapo chuoni na kutoka na vibinti vya chuo
 
Waache warudishe kodi zao sioni ubaya hapo nyie mnataka wapige nyeto??? na hao dada zenu watapataje kurudisha kodi zao..? sijaona hoja apo au hao wadada wako kwa ajili ya wafanyabiashara tuu na sio wanasiasa pia?
madada zetu nao wamekuwa rahisi sana!
 
Mie nipo hapa Dodoma,

Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!

Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao mwanafunzi wa chuo kikuu ni mtu mzima ndugu yangu. Nao pia wanahitaji mambo hayo na pia ni mambo ya kibinadamu.
 
lakini kumbuka anaetoa huo Uzinzi ni mdada.........wadada wa siku hizi bana sio kama kipindi kile huwezi hangaika nae saaana just one day hata kama hamjawahi kutana nae UNAKULA MZIGO..... Hii ni mbaya sana dada anaangalia tu usafili na mfukoni kuna nini lakini hajui mwilini kuna wadudu gani

sasa na wewe unayekula huo mzigo tukueleweje? Mjanja sana na anayekupa huo mzigo mjinga? Au wote akili zenu sawa tu, kula mzigo namna hiyo ni sifa za kijinga hata kwako. Jirekebishe ndugu yangu, HIV inakusubiri
 
Umalaya dawa yake ni ndogo sana.

CAMERA na MTANDAO
Siongelei vijikameara mbuzi naongelea CAMERA nzito zenye lensi nzito.
Vitu vya gizani weka Nuruni uone jinsi Waheshimiwa watakavyo piga ukelele wa hofu ya kwenda uchi.
Huku kwa wenzatu umalay upo kila kona tena kuna sehemu nyingi tu ni biashara halalali.

MWanasiasa yeyote akijihusisha na Ngono za umalaya wanaye.

Sisi wanasiasa wetu wakilala na dada, shangazi na hata mama zetu kwa ufukara wa akili zetu tunavimba kichwa.

Dada yangu anapigwa na Waziri fulani.

Mama angu alisha kanyagwa na Prez.

Shangazi analiwa uroda na Mkurugenzi.

Sasa subiri tukilalalisha ushoga.

Utasikia njemba nzima imevaa suti pande tatu au kanzu malidhawa ikisema..

Wewe usintishe hujui mimi nakanyagwa na waziri??

Mimi napigwa na mawaziri na wakurugenzi tu!

Ushenzi! UShenzi!

Uchafuzi wa kingono ni lazima ufichuliwe.
 
Back
Top Bottom