Ni kweli...Lakini kwa mtindo unaoendelea Dodoma tujiandae kuzika vijana wa kiume wasio na hatia!!! kwani hao Mabinti watajaolewa na Wakaka ambao hawajui maisha walioyapitia huko nyuma... Kina dada hao wajirekebishe...
Wame mchukua na mtu wako nini?
ndo hela hizo mkuu,
pata hela na wewe tukujue tabia yako
lakini kumbuka anaetoa huo Uzinzi ni mdada.........wadada wa siku hizi bana sio kama kipindi kile huwezi hangaika nae saaana just one day hata kama hamjawahi kutana nae UNAKULA MZIGO..... Hii ni mbaya sana dada anaangalia tu usafili na mfukoni kuna nini lakini hajui mwilini kuna wadudu gani
nimekugongea thanks hapaHao mabinti wanapewa fedha kidogo za mikopo ambayo ni kama Tsh.5,000 kwa siku kwa ajili ya chakula na malazi na wabunge wamekataa kuwapigania waongezewe mikopo. Wabunge wao wanapewa fedha nyingi zaidi Tsh.100,000 kwa siku na wabunge nao hawataki posho zao zipunguzwe.
Kwa hiyo kinachofanyika ni kuwa wanafunzi wanajiongezea posho zao za siku kwa njia hiyo na wabunge wanajipunguzia posho zao za siku kwa njia hiyo. Hapo panaeleweka?
Waziri Mkuu wa zamani amuweka kimada shoga
-shoga mwenyewe ni mwanasiasa mwenzake
-atanua naye zaidi anapokuwa mjini Dodoma
Waziri mkuu wa zamani anatuhumiwa kumuweka kimada mwanasiasa mwenzake mwanaume amabye anaaminika kuwa ni shoga na sasa anaelezwa kuwa karibu naye kama nyumba ndogo ya mheshimiwa huyo.Habari za muda mrefu zinaeleza kwamba mapenzi kati ya Waziri Mkuu huyo wa zamani na mwanasiasa huyo shoga si siri tena kwa wengi hali ambayo imeeleza kutishia hata ndoa yake.Imeelezwa kwamba kabla hata ya kuingia siasa mwanasiasa huyo shoga amekuwa na uhusiano wa muda mrefu na waziri mkuu huyo mstaafu tokea akiwa mtumishi wa taasisi moja ya serikali.
Habari zaidi zinaeleza kwamba mahusiano kati ya wanasiasa hao wawili yamekuwa yakiwakera hata baadhi ya marafiki wenzao wa karibu ambao wameelezwa kusikia kinyaa kutokana na mahusiano kati yao wakiwa watu wa jinsia moja.
Mwanasiasa mmoja aliye karibu na wapenzi hao wawili ameliambia gazeti hili kwamba kitendo hicho ni uchafu uliokithiri hasa kwa watu ambao wanapaswa kuwa mfano kwa jamii inayowazunguka."Inatia kinyaa maana huu ni uchafu uliokithiri kwa wanaume kuwa wapenzi tena bila hata aibu. Na kwa kuwa wanaogopwa najua hata wee hutaandiika" alisema mwanasiasa mmoja aliyeko Dodoma-------------------
Mie nipo hapa Dodoma,
Tangu waheshimiwa Wabunge waanze kuja Dodoma kwa kikao cha Bunge la Bajeti, kumekuwepo na ongezeko kubwa la mashangingi hasa nyakati za jioni kuja hapa chuo kikuu cha Dodoma na kuwachukua watoto na kuondoka nao. Wabunge wanawatuma madereva tu, wao hawaonekani!
Je hii ndo kazi ambayo wametumwa na wapiga kura wao? Na je kwanini wanawaharibia maisha watoto wa watu wakati wao wameoa na kuwa na familia zao? Kama wanahusudu sana Ngono kwanini wasije na wake zao?
Nawakilisha wadau!!!
Wanawaharibia maisha kivipi?,kwa uelewa wangu mtu akiwa chuoni ni mtu mzima so anajua anachofanya,pia hao viongozi nafikiri hawawakamati kwa nguvu hao mabinti,wanakuwa nao kwa maridhiano yao wenyewe?,au umenyang'anywa na mbunge?,mulaumu huyo msichana wako kuwa weak na kukuacha wewe na kumfuata mwenye nacho!
lakini kumbuka anaetoa huo Uzinzi ni mdada.........wadada wa siku hizi bana sio kama kipindi kile huwezi hangaika nae saaana just one day hata kama hamjawahi kutana nae UNAKULA MZIGO..... Hii ni mbaya sana dada anaangalia tu usafili na mfukoni kuna nini lakini hajui mwilini kuna wadudu gani
Ebu wataje hao wabunge.
Wanawaharibia maisha kivipi?,kwa uelewa wangu mtu akiwa chuoni ni mtu mzima so anajua anachofanya,pia hao viongozi nafikiri hawawakamati kwa nguvu hao mabinti,wanakuwa nao kwa maridhiano yao wenyewe?,au umenyang'anywa na mbunge?,mulaumu huyo msichana wako kuwa weak na kukuacha wewe na kumfuata mwenye nacho!