Wabunge wengi Tanzania ni Vilaza, weupe sana vichwani

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
24,052
71,359
Hapa Ndipo unaona Umuhimu wa Kua na Kiongozi Mkuu wa Nchi mwenye Akili kama Hayati, Mwanasayansi na Mzalendo wa kweli.

Bunge tulonalo limejazwa na Watanzania wengi Vichwa maji, Vitunguu maji kabisa, Mbunge anasimama kuongea unaona kabisa huyu kichwan mweupe.

Na Kwa sababu ya upeo wao Mdogo, wameishia Kupiga makofi kwenye Yale mambo mepesi na yahovyo hovyo, kwakua hayo ndo wanayoyaweza.

Lakini maajabu Wakisimama wenye Vichwa vyenye akili,wazalendo kama MPINA, GWAJIMA, kwakua Hawa wabunge wanaongea mambo mazito, makubwa yanayohitaji Akili, basi Utaona wabunge Vichwa maji ambao ni wengi wanakaa kimya, huwez sikia makofi ya kuunga mkono hoja za wabunge wenye akili, kwann?

Kwa sababu Wabunge Vichwa maji Huwa hawaelewi kinachozungumzwa na Wabunge wenye akili.

Wabunge Hawa Vichwa maji, waletee hoja za za kijinga utaona wanavyoisasambua!

SUALA LA WAZIRI, KUPEWA HAKI YA KUTOA MISAMAHA YA KODI KWA BAADHI YA WAWEKEZAJI KWA KIGEZO CHA "MWEKEZAJI MZURI" LISIKUBALIKE ,LISIKUBALIKE NA MTANZANIA YOYOTE MWENYE AKILI TIMAMU.

MAFISADI YANARUDI KWA KASI MPAKA YANATUNGIWA SHERIA.
 
.Bunge tulonalo limejazwa na Watanzania wengi Vichwa maji, Vitunguu maji kabisa, Mbunge anasimama kuongea unaona kabisa huyu kichwan mweupe.
Mkuu Carlos The Jackal, kwanza naheshimu mawazo yako kama ninavyo heshimu mawazo ya mtu mwingine yoyote hata kama sikubaliani nayo.

Pili, japo ni kweli kabisa tuna baadhi ya viongozi wetu ni vilaza wakiwemo baadhi ya waheshimiwa wabunge wetu mfano huyu Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Lakini tunapo jadili kuhusu idadi quantity, ili quantify jambo wengi, tuko kwenye digital data era, you have to give the data and the data authority kuwa iliwahi kufanyika ama research ya akili za wabunge wetu, au sensa ya wabunge wenye akili na vilaza, matokeo yakaonyesha vilaza ni wengi, then you can say wabunge wengi ni vilaza na ukawa right lakini kwa vile hakuna sensa wala research hiyo, then hakuna data, hivyo tumia neutral words kama baadhi, wanaweza kuwa wengi au wachache.

Tunapo jadili kuhusu mihimili, Serikali, Bunge, Mahakama au Taasisi nyeti kama Ikulu, Takukuru, jeshi, polisi, lets be fair, tutumie lugha za heshima, adabu na staha ili tusionekane tuna beza tukana au bagaza.
Mfano hapa
Hapa Ndipo unaona Umuhimu wa Kua na Kiongozi Mkuu wa Nchi mwenye Akili na Mzalendo wa kweli.
Hapa ni kumbagaza mtu!, japo not expressly, but impliedly kuonyeshea kuna mtu hana akili na sio Mzalendo, which is not fair kwa mtu wetu huyu!. Huku sio kumtendea haki!
Maneno kama haya
Bunge limejazwa na wengi Vichwa maji(1), Vitunguu maji kabisa, Mbunge huyu kichwan mweupe, upeo Mdogo, mambo yahovyo hovyo, Wabunge Vichwa maji (2) Huwa hawaelewi kinachozungumzwa, Wabunge Hawa Vichwa maji (3) waletee hoja za kijinga wanavyoisasambua!
Sio maneno ya staha ni lugha ya kuudhi, something which is not fair!.
P
 
Hayati mnamsifia kwa elimu ipi? Elimu yake ya kuunga unga kapitia certificate ya ualimu huko. Masters yake kuna wakakini kwenye tarehe ya kuanza na kumaliza.

Research yake tupe publication tuione.

Mama kasema ukweli alifeli form four lakini akapitia njia certicates na diploma na sahivi ana Masters.
 
Mtoa mada umeongea vyema kabisa, sema umefanya unyama pale ulipo husisha uwepo wa wabunge vilaza na kutokuwepo kwa JPM wakati unajua fika JPM ndiye aliwaingiza mjengoni.
 
Mimi nadhani kwa vile kiingereza nayo ni official language kwa Tanzania ndio maana hata miswaada bungeni inaletwa kwa kiingereza umefika wakati wa wabunge wale makini wakitoa michango yao watoe kwa lugha hiyo ili kuondoa kabisa upotevu wa muda kwa "taarifa" na kelele maana wafanyayo hayo ni hao vilaza wasiojua kitu
 
Mkuu Carlos The Jackal, kwanza naheshimu mawazo yako kama ninavyo heshimu mawazo ya mtu mwingine yoyote hata kama sikubaliani nayo.

Pili, japo ni kweli kabisa tuna baadhi ya viongozi wetu ni vilaza wakiwemo baadhi ya waheshimiwa wabunge wetu mfano huyu Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Lakini tunapo jadili kuhusu idadi quantity, ili quantify jambo wengi, tuko kwenye digital data era, you have to give the data and the data authority kuwa iliwahi kufanyika ama research ya akili za wabunge wetu, au sensa ya wabunge wenye akili na vilaza, matokeo yakaonyesha vilaza ni wengi, then you can say wabunge wengi ni vilaza na ukawa right lakini kwa vile hakuna sensa wala research hiyo, then hakuna data, hivyo tumia neutral words kama baadhi, wanaweza kuwa wengi au wachache.

Tunapo jadili kuhusu mihimili, Serikali, Bunge, Mahakama au Taasisi nyeti kama Ikulu, Takukuru, jeshi, polisi, lets be fair, tutumie lugha za heshima, adabu na staha ili tusionekane tuna beza tukana au bagaza.
Mfano hapa

Hapa ni kumbagaza mtu!, japo not expressly, but impliedly kuonyeshea kuna mtu hana akili na sio Mzalendo, which is not fair kwa mtu wetu huyu!. Huku sio kumtendea haki!
Maneno kama haya

Sio maneno ya staha ni lugha ya kuudhi, something which is not fair!.
P
Pascal lugha ya kuudhi sio nzuri kuitumia kama itakuwa inamuudhi mtu, lakini upo wakati lugha hiyo ikawa ndio stahili kwao kwani ndiyo wanayo weza kuielewa kwani ya kiungwana wakipewa wanaishia kuibeza tuu.
Wabunge wengi ni vilaza tuu na huo ndio ukweli, hawataki kujielimisha na kujipa uwezo wa kuelewa.
 
Back
Top Bottom