Uchaguzi 2020 Wabunge walioshindwa kuongoza kura za maoni ni wazembe kwa sababu ya ubahili

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,031
Mtu unatoka bungeni ukiwa umekamilika na mzigo wako wa 200m+ kibindoni halafu kwenye kura za maoni unakuwa namba 3 huo ni uzembe uliotukuka.

Hata sheria na kanuni zitakucheka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wakati huo ccm ikiwa imeruhusu rushwa , kiukweli huu ni ujinga sana, unaachaje kugawa rushwa huku chama kikiwa kimeruhusu !
 
Wakati huo ccm ikiwa imeruhusu rushwa , kiukweli huu ni ujinga sana, unaachaje kugawa rushwa huku chama kikiwa kimeruhusu !
Rushwa ina tafsiri yake bwashee.

Huku zimeruhusiwa zawadi......hapo Chadema wabunge wenu wameutumia " mzigo" vizuri ukimtoa yule mpare wa Kibamba!
 
Yaan kirahisirahisi mjumbe aje akupe kura yake hata kifuta jasho Hana. Hata km ingekuwa mm ndio mjumbe walahi sikupi kura yangu bila kujiongeza kidogo. Umetoka na mamilion juzi juzi tu hapo afu unanijia na maneno matupu.
 
Yaan kirahisirahisi mjumbe aje akupe kura yake hata kifuta jasho Hana. Hata km ingekuwa mm ndio mjumbe walahi sikupi kura yangu bila kujiongeza kidogo. Umetoka na mamilion juzi juzi tu hapo afu unanijia na maneno matupu.
Hahahaaaa.......!
 
Back
Top Bottom