johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,559
Mtu unatoka bungeni ukiwa umekamilika na mzigo wako wa 200m+ kibindoni halafu kwenye kura za maoni unakuwa namba 3 huo ni uzembe uliotukuka.
Hata sheria na kanuni zitakucheka.
Maendeleo hayana vyama!
Hata sheria na kanuni zitakucheka.
Maendeleo hayana vyama!