Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,618
- 33,475
hello JF,
kushinikiza wabunge wafanye kilichowapeleka bungeni,
Naomba Magufuli aweke kila mbunge atembelee KWA LAZIMA vikao at least 12,
kwa mwaka,
kwenye majimbo yao
kushirikiana na wenyeviti wa halmashauri ,
Wabunge na wenyeviti wa halmashauri washirikiane na wananchi wa majimbo yao ku identify na kubuni plans za jinsi ya kutatua changamoto za majimbo yao...na ku exploit fursa ambazo ziko karibu yao
Na sio kutembelea majimbo yao pande wanapojiskia...
the current system inawafanya wabunge kuwa lazy
Na hivi tumezuiwa bunge kuliona,kuna wabunge wanakua too comfortable huko ndani..LOL
kama sijaeleweka mods nisaidie,,lol
kushinikiza wabunge wafanye kilichowapeleka bungeni,
Naomba Magufuli aweke kila mbunge atembelee KWA LAZIMA vikao at least 12,
kwa mwaka,
kwenye majimbo yao
kushirikiana na wenyeviti wa halmashauri ,
Wabunge na wenyeviti wa halmashauri washirikiane na wananchi wa majimbo yao ku identify na kubuni plans za jinsi ya kutatua changamoto za majimbo yao...na ku exploit fursa ambazo ziko karibu yao
Na sio kutembelea majimbo yao pande wanapojiskia...
the current system inawafanya wabunge kuwa lazy
Na hivi tumezuiwa bunge kuliona,kuna wabunge wanakua too comfortable huko ndani..LOL
kama sijaeleweka mods nisaidie,,lol