Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

Status
Not open for further replies.
Vyovyote vile ukweli unabaki kuwa hakuna ajuaye cha kufanya kwani haya matatizo si mapya. Au ni mapya?
unakosea mkuu!sio kwamba hakuna anayejua cha kufanya,ukweli ni kuwa WALIOPO HAWAJALI!!sisi mtaani hatuna umeme,unadhani na kwao wanaKATIWA?? Wao 24/7 umeme upo,full kiyoyozi tunahitaji viongozi wanaojali matatizo yetu! Kuna kila aina ya vyanzo vya umeme-maporomoko,upepo(singida),makaa ya mawe n.k?? Kwanini giza?? Hawajali+Ufisadi na Ukuu!! Wao kwenye mwanga sisi gizani kwa sababu wao ni wakuu na sisi ni WATUMWA!? It is enough,TANZANIANS WE HAVE TO WAKE UP!!
 
Hii mijinga sijui inampigia Pinda makofi ya nini? Wote walikuwa wameonesha hasira juu ya Wizara hii, walifaa wazomee kwa nguvu zote! Inavyoelekea Katibu Mkuu wa Nishati na Madini atafutwa kazi... lakini kwa maajabu ya Musa, ****** anaweza kumwamisha!
 
Muda huu waziri mkuu anatoa majumuisho ya wizara ya nishati na madini. ilitarajiwa waziri mwenye dhamana hiyo ndo awajibike, ila kufuatana na kero ya umeme na unyeti wake ni vyema pinda nae aongee, maana ngeleja hana jipya. ila ninachoona hapa hata huyu waziri mkuu nae asiishie kusimama tu bali awajibike kwa vitendo.

Mungu atusaidie
 
Mmeyasikia wadau....Mnasemaje


Hebu tulizungumze Hili

Nyepesi nyepesi Ngeleja Kaisusia Wizara
 
Anaongelea kupunguza matumizi ya OC, Magari, posho nakadhalika. Anakubali huu ushauri na kusema ni wa MSINGI. ...... POSHO NO MORE...HUYU JAMAA ALIDINDA KIPINDI KILE KUHUSU POSHO LEO ANAJIGEUKA

Mwingine anasema unafiki kupinga posho na huyu nae ansema nini tena. Hawa jamaa wapelekwe milembe
 
Speaker anatoa mwongozo mjadala utaarishwa hadi lini\Nae anajibu baada ya wiki tatu
 
Serekali imeondoa hoja, imeomba bunge hoja iaihirishwe. Waziri mkuu amemaliza, watu wanashangilia people's power. Haya Makinda anatoa kanuni ili hoja iahirishwe akitaka wabunge wataje hadi lini na kwa nini?, Waziri mkuu ameomba iahirishwe kwa wiki tatu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom