Wabunge wakomaa: Ngeleja, Jairo watakiwa kuondoka; Pinda ataka mjadala uahirishwe kwa siku 21

Status
Not open for further replies.
Yeyote/wowote atakaye/watakao jiuzuru naona wamechelewa sana wali/alitakiwa kufanya hayo muda murefu!
 
Kama Katibu Mkuu anaweza kutafuta shilingi milioni 50 toka kila taasisi iliyo chini ya wizara kwa ajili tu ya ku-lobby kupitisha budget ya wizara kwa nini asingetafuta pesa zaidi (hata toka kwa taasisi za wizara nyingine na hata kampuni binafsi) kwa ajili ya kununua mitambo ya kuzalishia umeme? Kweli kuna watu wana akili zisizo na akili!
Jana kabinti ka miaka 6 kalitamka "Jamani kikwete anaboa! kila siku anawaambia tanesco wakate umeme kwetu!". Niliishia kucheka na kumhurumia JK.
sasa hapa atajua kuendesha maguta ni kazi nyenye kumfanya mtu atunze mke
 
David Jairo hana kazi.......Ni aibu kwa kweli...Nawapongeza sana wabunge wote kwa msimamo huu wa pamoja bila kujali itikadi zao.....Natamani hoja zote zingekuwa zinapitishwa kwa msimamo wa aina hii...
 
I am going to defend Ngeleja till the end. All of his predecessors knew about the problem and did nothing to fix it once and for all. Now all of a sudden Ngeleja is the villain. If his predecessors couldn’t do a damn thing why then they are not getting their share of the blame? In my view there is plenty of blame to go around and the buck stops at the very top.

If Ngeleja has to go so does his boss who once headed that ministry himself and did jack shit to fix the problem. These problems didn’t just start when Ngeleja became in charge of the ministry.
wasukuma bana...teh teh
 
Kweli bunge la mwaka huu moto, hatimae waziri mkuu amewaomba wabunge kuahilisha mjadala wa wizara ya nishati na madini mpaka baada ya wiki 3, pia watanunua mitambo ya kufua umeme na pia katibu mkuu wizara hii kikaangoni.
 
Bi.kiroboto alipewa huu ushauri na mhe.mnyaa, akakataa, sa alichokuja kufanya pinda ndo kile kile alichoshauri mhe.Mnyaa. Kwel Magamba hopeless.
 
sasa nayakumbuka sana maneno ya Hansi Kitine/Kitime kwenye kipindi cha Mzee Makwaiya aliposema kuwa haiwezekani mtu mwizi aliyekubuhu apewe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara nyeti.....sikujua kuwa alikuwa anamaanisha ni Jairo.........yametimia.
 
David Jairo hana kazi.......Ni aibu kwa kweli...Nawapongeza sana wabunge wote kwa msimamo huu wa pamoja bila kujali itikadi zao.....Natamani hoja zote zingekuwa zinapitishwa kwa msimamo wa aina hii...

Ni kweli amefanya kosa, lakini hawezi fanya maamuzi haya bila "consultation/directives" from his superiors!! Yeye amekuwa "mbuzi wa kafara" ili watu waonekane wamefanya kazi
 
Wakuu,

Taarifa niliyoipata toka kwa source wetu ndani ya kikao cha CCM huko Dodoma zinashtua kidogo.

Wabunge wa CCM wamepandisha mori wakitaka Jairo (Katibu Mkuu wa Wizara) atimuliwe na wakaendelea kutishia kuwa hata Ngeleja naye anatakiwa kuachia ngazi.

Wabunge wa CCM wamemtaka Jairo ajiuzulu kutokana na kashfa ambayo imeletwa na Shelukindo juu ya Barua aliyoandika kuzitaka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati na Madini zitoe 50mil kila moja ili kupata pesa ya ku-lobby ili bajeti ipite.

Wameitaka serikali kupunguza 20% ya bajeti za 'Other Charges' na pesa zote za kujenga majengo ya Wizara ili ziende kwenye UMEME ama vinginevyo bajeti haipiti na Ngeleja atatakiwa kujiuzulu mara moja.

UPDATES:

Waziri Mkuu Mizengo Pinda kaomba mjadala uahirishwe mpaka baada ya wiki tatu ili waweze kujipanga upya. Kaonyesha kusikitishwa na kitendo cha Jairo na kasema ingekuwa ni kwa hiari yake (bila kumsubiri rais) angechukua maamuzi haraka sana

Hii ni rushwa na kwa kweli huu ndiyo wakati ambao Rais wetu mpendwa anatakiwa kuchukua hatua za haraka kuwatia adabu watu hawa ambao wanatumia fedha za umma kuhonga na kupitisha mambo amabyo si ya maslahi ya umma.
 
CCM hii ndiyo njia sahihi ya KUJENGA NCHI,kuakikisha maslahi ya TAIFA MBELE.Aksante Mama Sherukindo kwa uthubutu huo manake hilo ni BOMU ATI.UMELUDISHA KIDOGO HESHIMA YAKO KWENYE JAMVI MANAKE ULISHAANZA KUCHAFUA JUKWAA.
 
Wabunge wa CCM wamemtaka Jairo ajiuzulu kutokana na kashfa ambayo imeletwa na Shelukindo juu ya Barua aliyoandika kuzitaka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati na Madini zitoe 50mil kila moja ili kupata pesa ya ku-lobby ili bajeti ipite.Wameitaka serikali kupunguza 20% ya bajeti za 'Other Charges' na pesa zote za kujenga majengo ya Wizara ili ziende kwenye UMEME ama vinginevyo bajeti haipiti na Ngeleja atatakiwa kujiuzulu mara moja
Kuna lolote N.geleja na wizara yake atajifunza hapa kuhusu kauli za Kakobe dhidi yake? Hamkuumbwa ili muamini wala hamtaamini mamlaka ya Mungu kwamba inazitawala serikali za dunia hata mtapoondoka duniani..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom