Wabunge wa UKAWA wameshasaini Bungeni!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Wabunge wa ukawa wakiongozwa na Mbowe ambao mpaka sasa hivi wamesusia kumtambua Raisi wa JMTZ pmj na serikali yake wameshasaini posho ya kuhudhuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Rais Magufuli!

11220126_923246657750250_1362120904712811456_n.jpg
 
mchange kura 3000 ni haki yake...akaungane na Mwapumba tu au Kisanduku plus Chakulagani
 
Zile ni pesq zetu za walipa kodi na sio za mangufuli wewe.

Acha wazichukue ili chama kikue zaidi.


Lakini hauoni kama kuna unafiki hapo? Kwamba ukawa hawamtambui Raisi wa JMTZ lkn wanasaini kwenda Bungeni kushiriki ufunguzi wa Bunge utakaofanywa na Raisi wa JMTZ ambaye hawamtambui na kuapa kwa jina lake Raisi wa JMTZ, sasa kama siyo kuchanganyikiwa ni nini?
 
Barbarosa hiyo Posho hawalipwi kama hisani bali ni stahili yao inayotokana na wao kuchaguliwa na wananchi, pia Magufuli hana hiyari ya kuwalipa au kutokuwalipa kwani hata yeye hizo pesa hazitokani na kuuza Mifugo ya Familia yao bali zinatokana na Kodi tunazotozwa watanzania wote waliomchagua na wasiomchagua Magufuli!! Na wala hizo Posho hazitokani na fedha zilizopatikana kwa kuuza kadi za CCM hivyo wabunge toka vyama vingine wakose sifa za kupewa!!

Kutokwenda kwenye sherehe za kuapishwa kwa Magufuli hakuko Kikatiba bali hizo posho zinatokana na sheria zilizotungwa kwa kufuatisha Katiba iliyopo inayoshabikiwa na CCM hata kama ni Hovyo kabisa!! Kuna ujinga miongoni mwetu kuona kama serikali inafanya mambo kwa hisani jambo ambalo si sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Barbarosa hiyo Posho hawalipwi kama hisani bali ni stahili yao inayotokana na wao kuchaguliwa na wananchi, pia Magufuli hana hiyari ya kuwalipa au kutokuwalipa kwani hata yeye hizo pesa hazitokani na kuuza Mifugo ya Familia yao bali zinatokana na Kodi tunazotozwa watanzania wote waliomchagua na wasiomchagua Magufuli!! Na wala hizo Posho hazitokani na fedha zilizopatikana kwa kuuza kadi za CCM hivyo wabunge toka vyama vingine wakose sifa za kupewa!!

Kutokwenda kwenye sherehe za kuapishwa kwa Magufuli hakuko Kikatiba bali hizo posho zinatokana na sheria zilizotungwa kwa kufuatisha Katiba iliyopo inayoshabikiwa na CCM hata kama ni Hovyo kabisa!! Kuna ujinga miongoni mwetu kuona kama serikali inafanya mambo kwa hisani jambo ambalo si sahihi.

Ni lazima kama Wabunge wa Ukawa wataapa kwa Jina la Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa TanZania ambaye kwa bahati mbaya hawamtambui sasa hapo inakuwaje tena?

Na isitoshe ili wao walipwe posho ni lazima Serikali iliyo chini ya Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania iliridhie na kukubali kuwalipa sasa kama wao hawaitambui Serikali yake ina maana kwa akili ya kawaida hana mamlaka (Raisi na Serikali yake) ya kuidhinisha fedha ya Umma kwa maana kwa kujibu wa ukawa yeye siyo Raisi hahali!
 
Hiv mchange unagombea unapata kura 3000 bado unapata ujasiri wa kuandika chochote .....
 
Kwani kura za Urais ndizo kura za ubunge?

Aina hii ya wanasiasa iliyonayo ACT ndio sababu huwa naamini chama hiki kitapotea haraka sana...


Lakini Wabunge wote wataapishwa kwa Jina la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa TanZania ambaye wao ukawa hawamtabui, sasa hapo itakuwaje?
 
Kwani BUNGENI wanaenda kufanya kazi za Magufuli au kazi walizowahaidi na watakazotumwa na Wapigakura wao??
 
Bungeni kwenda kutetea wananchi au kwenda uwanja wa taifa kipi bora

Lakini ukiingia Bungeni na kuapishwa ina maana moja kwa moja umeshamkubali Raisi wa JMTZ, hii italeta tu maana kama ukawa watagomea Bunge pia lkn kuingia Bungeni na kukubali kuapishwa huko ni kuikubali Serikali iliyoko madarakani moja kwa moja!
 
Lakini Wabunge wote wataapishwa kwa Jina la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa TanZania ambaye wao ukawa hawamtabui, sasa hapo itakuwaje?
Wana apa kwa jina la nani??? acha utani aiseee hata kiapo cha juzi Magufuri ka hapa kuwa mtumishi wetu. ambao wana hapa kuwa watiifu kwa Rais ni ma Askari tu bwana
 
Nina uhakika mpaka kufikia muda huu zitto atakuwa ameshampa onyo huyu jamaa!! Mwenzao anajitahidi kujenga maadili wao ndo kwanzaaa wanazidi kutibua.
 
Back
Top Bottom