ACT kwan walikuwepo kwenye kuapishwa kwa magufuli?
Alikuwepo Khomeini ayatola
ACT kwan walikuwepo kwenye kuapishwa kwa magufuli?
Hiv mchange unagombea unapata kura 3000 bado unapata ujasiri wa kuandika chochote .....
Lakini wataapishwa kwa Jina la Magufuli (raisi wa JMTZ) ni lazima!
ACT kwan walikuwepo kwenye kuapishwa kwa magufuli?
Kwani kura za Urais ndizo kura za ubunge?
Aina hii ya wanasiasa iliyonayo ACT ndio sababu huwa naamini chama hiki kitapotea haraka sana...
Lakini wataapishwa kwa Jina la Magufuli (raisi wa JMTZ) ni lazima!
Nani alikuambia wabunge wanaapa kwa jina la rais? Kwani kawachagua yeye?Ni lazima kama Wabunge wa Ukawa wataapa kwa Jina la Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa TanZania ambaye kwa bahati mbaya hawamtambui sasa hapo inakuwaje tena?
Na isitoshe ili wao walipwe posho ni lazima Serikali iliyo chini ya Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania iliridhie na kukubali kuwalipa sasa kama wao hawaitambui Serikali yake ina maana kwa akili ya kawaida hana mamlaka (Raisi na Serikali yake) ya kuidhinisha fedha ya Umma kwa maana kwa kujibu wa ukawa yeye siyo Raisi hahali!
Lakini Wabunge wote wataapishwa kwa Jina la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa TanZania ambaye wao ukawa hawamtabui, sasa hapo itakuwaje?
Mwenye Chama ndiyo kamtuma Habibu kuja kutoa kauli ya chama
WE INAUMA NINI CHUKUA SUMU KAJINYONGE. HAIKUHUSU WALA NINI. LAZIMA WARUDISHE JASHO LAO; KWANZA WENGINE WANA MAPINGAMIZI NA TUNAVYOJUA WANAWEZA WAKAKATWA SASA NI LAZIMA WAACHE TABIA YA KITOTO YA KUZIRA HIZO HELA SIYO ZAKO NI HAKI YAO. HATA KAMA wameshasaini posho ya kuhudhuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Raisi Magufuli! WEWE NINI KINAKUUMAWabunge wa ukawa wakiongozwa na Mbowe ambao mpaka sasa hivi wamesusia kumtambua Raisi wa JMTZ pmj na serikali yake wameshasaini posho ya kuhudghuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Raisi Magufuli!
![]()
Ni lazima kama Wabunge wa Ukawa wataapa kwa Jina la Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa TanZania ambaye kwa bahati mbaya hawamtambui sasa hapo inakuwaje tena?
Na isitoshe ili wao walipwe posho ni lazima Serikali iliyo chini ya Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania iliridhie na kukubali kuwalipa sasa kama wao hawaitambui Serikali yake ina maana kwa akili ya kawaida hana mamlaka (Raisi na Serikali yake) ya kuidhinisha fedha ya Umma kwa maana kwa kujibu wa ukawa yeye siyo Raisi hahali!
Zile ni pesq zetu za walipa kodi na sio za mangufuli wewe.
Acha wazichukue ili chama kikue zaidi.
Zile ni pesq zetu za walipa kodi na sio za mangufuli wewe.
Acha wazichukue ili chama kikue zaidi.