Wabunge wa UKAWA wameshasaini Bungeni!

Wabunge wa UKAWA wameshasaini Bungeni!

Lakini hauoni kama kuna unafiki hapo? Kwamba ukawa hawamtambui Raisi wa JMTZ lkn wanasaini kwenda Bungeni kushiriki ufunguzi wa Bunge utakaofanywa na Raisi wa JMTZ ambaye hawamtambui na kuapa kwa jina lake Raisi wa JMTZ, sasa kama siyo kuchanganyikiwa ni nini?

mleta mada hajui anaongea nn. bunge na serikAl n mihimil 2 tofauti
 
Lakini hauoni kama kuna unafiki hapo? Kwamba ukawa hawamtambui Raisi wa JMTZ lkn wanasaini kwenda Bungeni kushiriki ufunguzi wa Bunge utakaofanywa na Raisi wa JMTZ ambaye hawamtambui na kuapa kwa jina lake Raisi wa JMTZ, sasa kama siyo kuchanganyikiwa ni nini?

mleta mada hajui anaongea nn. bunge na serikAl n mihimil 2 tofauti
 
Barbarosa hiyo Posho hawalipwi kama hisani bali ni stahili yao inayotokana na wao kuchaguliwa na wananchi, pia Magufuli hana hiyari ya kuwalipa au kutokuwalipa kwani hata yeye hizo pesa hazitokani na kuuza Mifugo ya Familia yao bali zinatokana na Kodi tunazotozwa watanzania wote waliomchagua na wasiomchagua Magufuli!! Na wala hizo Posho hazitokani na fedha zilizopatikana kwa kuuza kadi za CCM hivyo wabunge toka vyama vingine wakose sifa za kupewa!!

Kutokwenda kwenye sherehe za kuapishwa kwa Magufuli hakuko Kikatiba bali hizo posho zinatokana na sheria zilizotungwa kwa kufuatisha Katiba iliyopo inayoshabikiwa na CCM hata kama ni Hovyo kabisa!! Kuna ujinga miongoni mwetu kuona kama serikali inafanya mambo kwa hisani jambo ambalo si sahihi.
Kwahiyo hao wananchi wote ni UKAWA??
 
Last edited by a moderator:
Ni lazima kama Wabunge wa Ukawa wataapa kwa Jina la Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa TanZania ambaye kwa bahati mbaya hawamtambui sasa hapo inakuwaje tena?

Na isitoshe ili wao walipwe posho ni lazima Serikali iliyo chini ya Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania iliridhie na kukubali kuwalipa sasa kama wao hawaitambui Serikali yake ina maana kwa akili ya kawaida hana mamlaka (Raisi na Serikali yake) ya kuidhinisha fedha ya Umma kwa maana kwa kujibu wa ukawa yeye siyo Raisi hahali!

Wanaapa kwa jina la Mungu na si kwa jina la Raisi.
 
Ninachikitamani makosa ya mtandao! Yawanase wengi maana hizi kejeli na dharau zitatuharibia Taifa wakindelea kukamatwa na kushtakiwa watu Wa namna hii. Twaweza kuwa na heshima na nidhamu kwa serikali yetu.

Hatutaki sheria kandamizi... Kejeli na Dharau ni sehemu ya Maisha tumeishi nayo na yapo duniani kote, kwa hapa bongo sheria hiyo inakandamiza walio mlengo wa kushoto tu, wale wa kulia wanaachwa, Pale Jangwani Watanzania wote wapenda mabadiliko waliitwa MALOFA na Wapumbafu na sheria ikabaki Silent.... Stuka Dada

Back to mada.... Huyu Mchange ni boya sana, hiki chama after 5 yrs of election kitapata mbunge mmoja tena kama siasa zenyewe ndo za aina hii.... "Mark my words"
 
Kuhudhuria au kutohudhuria sherehe ha kuapishwa Raisi ni tofauti Kabisa na kuhudhuria au kutohudhuria vikao vya bunge. Nasikitika kuna watu badala ha kufikiria utafauti huo wanataka kutoa umuhimu kweye posho.
 
Hatutaki sheria kandamizi... Kejeli na Dharau ni sehemu ya Maisha tumeishi nayo na yapo duniani kote, kwa hapa bongo sheria hiyo inakandamiza walio mlengo wa kushoto tu, wale wa kulia wanaachwa, Pale Jangwani Watanzania wote wapenda mabadiliko waliitwa MALOFA na Wapumbafu na sheria ikabaki Silent.... Stuka Dada

Back to mada.... Huyu Mchange ni boya sana, hiki chama after 5 yrs of election kitapata mbunge mmoja tena kama siasa zenyewe ndo za aina hii.... "Mark my words"

Hujakatazwa kutoa mtazamo wako bila maneno ya kashfa na kejeli. Hisia zako ukiziruhusu kuwa huru Vila bila mipaka ni kero kwa wengine, upinzani haumaanishi kuwa na maneno ya karaha. Japo sio kosa lako. Huenda ni matokeo ya kusoma masomo ya Sanaa (art) zaidi. Na athari za magazeti ya udaku.!! Ingekuwa masomo ya sayansi. Sidhani huu muda ungekuwepo.
 
Lakini hauoni kama kuna unafiki hapo? Kwamba ukawa hawamtambui Raisi wa JMTZ lkn wanasaini kwenda Bungeni kushiriki ufunguzi wa Bunge utakaofanywa na Raisi wa JMTZ ambaye hawamtambui na kuapa kwa jina lake Raisi wa JMTZ, sasa kama siyo kuchanganyikiwa ni nini?
Akili ya kuku hii, hujui wao nao walichaguliwa na wananchi?Kama ni wew wangefanyaje?
 
uchaguzi umeshaisha jamani tuwe kitu kimoja kujenga taifa letu,ushindani na upinzani tuumalize tumpe rais ushirikiano kutimiza yale aliyoyaahidi kwa taifa letu......
 
Barbarosa hiyo Posho hawalipwi kama hisani bali ni stahili yao inayotokana na wao kuchaguliwa na wananchi, pia Magufuli hana hiyari ya kuwalipa au kutokuwalipa kwani hata yeye hizo pesa hazitokani na kuuza Mifugo ya Familia yao bali zinatokana na Kodi tunazotozwa watanzania wote waliomchagua na wasiomchagua Magufuli!! Na wala hizo Posho hazitokani na fedha zilizopatikana kwa kuuza kadi za CCM hivyo wabunge toka vyama vingine wakose sifa za kupewa!!

Kutokwenda kwenye sherehe za kuapishwa kwa Magufuli hakuko Kikatiba bali hizo posho zinatokana na sheria zilizotungwa kwa kufuatisha Katiba iliyopo inayoshabikiwa na CCM hata kama ni Hovyo kabisa!! Kuna ujinga miongoni mwetu kuona kama serikali inafanya mambo kwa hisani jambo ambalo si sahihi.

Kula. LIKE.
 
Last edited by a moderator:
Lakini hauoni kama kuna unafiki hapo? Kwamba ukawa hawamtambui Raisi wa JMTZ lkn wanasaini kwenda Bungeni kushiriki ufunguzi wa Bunge utakaofanywa na Raisi wa JMTZ ambaye hawamtambui na kuapa kwa jina lake Raisi wa JMTZ, sasa kama siyo kuchanganyikiwa ni nini?

Hivi kunastatement walitoa kama ile ya 2010 kuwa hawamtambui Rais?
 
Wabunge wa ukawa wakiongozwa na Mbowe ambao mpaka sasa hivi wamesusia kumtambua Raisi wa JMTZ pmj na serikali yake wameshasaini posho ya kuhudghuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Raisi Magufuli!

11220126_923246657750250_1362120904712811456_n.jpg
unadhani wanachelewaga basi
 
Mtu kama huyu Barbarosa anashangaza kweli. Sasa kama hujui kitu si ukae kimya? Elimu, elimu , elimu. Aliyekuamhia mvunge anaapa kwa Rais ni nani? Itakuchukuwa miaka mingapi badae kujua bunge ni mhimili unaojitegemea? Hadi uje kutambua hilo si utakuwa RIP tayari? Ahasnte Lowasa kwa kuwaambia vichwani mwao ni tatizo kuliko jingine lolote
 
Wabunge wa ukawa wakiongozwa na Mbowe ambao mpaka sasa hivi wamesusia kumtambua Raisi wa JMTZ pmj na serikali yake wameshasaini posho ya kuhudghuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Raisi Magufuli!

11220126_923246657750250_1362120904712811456_n.jpg

ulitaka nani asaini.?hukulipwa dau lako la kampeni.fedha sio za ccm.tunajua unachataka kusema!
 
Wabunge wa ukawa wakiongozwa na Mbowe ambao mpaka sasa hivi wamesusia kumtambua Raisi wa JMTZ pmj na serikali yake wameshasaini posho ya kuhudghuria vikao Bungeni itakayolipwa na Serikali ya Raisi Magufuli!

11220126_923246657750250_1362120904712811456_n.jpg

Hakuna Pesa za Magufuli Pesa ni za watanzania,hujiekewi Wewe mchange roho mbaya chuki na wivu zitakuuua
 
Hiv mchange unagombea unapata kura 3000 bado unapata ujasiri wa kuandika chochote .....

Kuna watu wamenyimwa aibu na bila shaka kutojitambua. Mchange ni mmoja wapo
 
Back
Top Bottom