Wabunge wa UKAWA wagomea Miswada ya Petroli na Gesi, Bunge laahirishwa ghafla

Tangu siku mama huyu anatajwa kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tayari nilipata mahangaiko makubwa akilini na moyoni. Sikuona ni kwa namna gani mama huyu angeweza kulimudu Bunge. Hii dhana ya 50-50 katika gender issues itatumaliza kama tusipokuwa makini. Wale walio wengi kwa sasa Bungeni ndio, kwa kura zao za uwingi wa kimbunga, wanaotuingiza katika majanga kadha wa kadha. Hawa ndio maadui zetu hawa. Hawa ndio wanaotuingiza mkenge hawa. I wish Bunge lijalo hiki chama cha kijani na njano kiangamie kwa kupata uwakilishi mdogo Bungeni.
 
Ushauri mzuri sana; lazima kubalansi mambo! Rais akitokea upande A na upande B upate wabunge wengi na wale Wabunge wa mipasho wasirudi tena! Ukawa juu juu zaidi!

lingekuwa jambo jema sana. kama rais anatoka Chama A basi wabunge watoke chama B. na madiwani wengi watoke chama C.tukifikia huko taifa letu litapiga hatua sana...
 
URIE tu leo hakuna wa kukupa tuition, jaribu tena kesho. Page 15 watu kibao wamesoma wameelewa kilichoandikwa na wengi kuchangia, wewe graduate wa elimu kata bado unatokwa na povu. Jaribu kesho labda utampata atakayekuwa tayari kukupa tuition ili nawe uelewe kinachojadiliwa kwenye uzi huu. Unaweza kuhamia kwenye uzi mwingine ambako hata elimu kata kama wewe ataelewa kilichoandikwa.


Hivi ndugu "msomi" uliye juu ya ile unayoiita elimu kata, neno "URIE" lina maana gani na umelitoa wapi? Unajionesha vizuri wewe ni mtu wa kiwango gani. Tena unaonekana ni muumini wa kutupwa wa tuition, kwamba bila tuition katika imani yako vitu haviendi. Wa wapi wewe? Au tuseme umeshadumaa akili? Usiwe wa kuunga unga hivyo ndugu "msomi". Na hiyo sentensi yako ya mwisho inaonesha ulivyo mtupu na unayehitaji msaada.
 
230m wanaostahili kuzipokea ni wabunge wa UKAWA,magamba hawastahili kabisa,kazi ya kuwawakilisha Wananchi imefanywa vizuri na UKAWA!

mkuu naunga mkono hoja. natamani lissu na mnyika kila mmoja apate 250 MIL. kwa kazi nzuri bungeni.
 
Hivi jamani tusinge kuwa na wabunge kama Lisu, Mnyika, Msigwa etc, hali ingekuwaje leo?

Aaaaaaahhhh... ndiyo maana mikataba ya madini ilipitishwa! Mgodi wa Mwadui ulianza tangu miaka hiyo lakini hadi leo hakuna tija kwa wananchi!!?

Mungu wabariki UKAWA na Octoba warudi wakiwa ni zaidi ya asilimia 70 ya wabunge wote!
 
Bunge la Mwaka 2016 CCM wajipange na wajiandae kuwa "Kambi rasmi ya Upinzani"
 
Kwani na nyie hamjui SERA zetu za kunufaisha wageni,familia zetu na mtumbo yetu?

Sera ilikuwa Maisha bora kwa kila mwekezaji....CCM BWANA MANENO MENGI ETI TUNATAKA KUPIGA VITA RUSHWA WANASHINDWA KUZUIA MISWADA MIBOVU KUPITA.....
 
Ile mizezeta ya ccm ilkuwa inapiga kelele tu hata kilichokuwa kinabishaniwa hawajui, ni mzigo mkubwa kwa taifa kuwa na wabunge wengi wa ccm bungeni
 
Mkuu mtu anapouliza swali kuwa muungwana kujibu ulichoelewa wewe. kama huwezi unakaa kimya sio kukurupuka na majibu ya kipuuzi. Mleta mada amesema Mnyika ametamka kuwa wamepinga Kuletwa kwa dharura na kwa pamoja miswada yenye faida kubwa kwa nchi...wewe umeelewa nini hapo? tazama hapa chini nimekuwekea quote

ndugu wakati mwingine ukiona mtu ameteleza unajiongeza tu kama umeelewa,sio lazima kuanza kukosoa kiswahili chake wakati fika unajua alilenga kumaanisha nini!
Si kweli kwamba wanapinga miswada yenye manufaa kwa umma,hapo wanapinga kuwasilishwa miswada ya sheria ya mambo yenye manufaa makubwa(uti wa mgongo) kwa umma!
Ni suala la kujiongeza tu na kuelewa,haina haja ya kulumbana kwa jambo ambalo kwa akili ndogo linaeleweka!
Ndio maana wengine tumekaa kimya kuhusu hilo coz tumejiongeza!
 
Kwa kile wanachokiita wanaburuzwa, Wabunge wa UKAWA kwa pamoja wamegoma kuendelea na bunge na wote kuamua kusimama baada ya kupinga uwasilishaji wa dharula wa Miswada mitatu muhimu ya Gesi, Petroli na Uziduaji "Extractive Industries".

Ni baada ya John Mnyika kuomba Muongozo juu ya uvunjaji wa kanuni za bunge. shuguli za leo zimekiuka kanuni kwani miswada imewekwa ikiwa sambamba. anasema hoja ikishatolewa ni lazima ijadiliwe iamuliwe ndo itolewe hoja nyingine, lakini leo zipo hoja tatu kwa pamoja.

Mnyika kasema na huu Muongozo sitaki useme utautolea ufafanuzi siku nyingine kwa maana hatuwezi kuendelea kufanya kazi ambazo zimevunja kanuni.

Wanapinga kuwasilishwa kwa dharula na kwa pamoja
Miswada yenye manufaa makubwa kwa nchi.

Miswada wanayo pinga na iliyo wasilishwa kwa pamoja ni;

1.Muswada juu ya Petroli, 2015 (The Petroleum Act, 2015):

2.Muswada juu ya Usimamizi wa Mafuta na Gesi, 2015 (The Oil and Gas Revenues Management Act, 2015):

3.Muswada juu ya tasnia ya Uziduaji Tanzania (The Tanzania Extractive Industries Act, 2015): The Tanzania Extractive Industries Act, 2015.

Hata baada ya Spika kuwataka watoke nje kama hawataki kuendelea, Wamegoma na kusimama na kuanza kupiga kelele hadi Spika akaahirisha bunge. UKAWA wamesema mwanaharamu hapiti leo.

Bonyeza HAPA kusikiliza kilichoendelea bungeni.


Acha porojo wewe, Cahdema ni chama chenye vurugu wakati wote hamna kiongozi hapo wote wana njaa na wachumia matumbo tuu
 
Last edited by a moderator:
Ile mizezeta ya ccm ilkuwa inapiga kelele tu hata kilichokuwa kinabishaniwa hawajui, ni mzigo mkubwa kwa taifa kuwa na wabunge wengi wa ccm bungeni
Wewe kilaza acha wehu wako hapa, zezeta baba yako na hujo kwenu acha kutusi chama dume wewe mwehu
 
Back
Top Bottom