Wabunge wa UKAWA wagomea Miswada ya Petroli na Gesi, Bunge laahirishwa ghafla

Nimepata burudani sana video ya ukawa na spika wa bunge leo mjengoni, hakika ukawa mnatisha. Kazeni uzi hawa jamaaa hawafai tomechoka sasa.
 
Kwa mujibu wa malezo ya Mnyika ni kwamba kwenye semina ya bunge walikubalina wabunge wote kuwa miswada hiyo isisomwe kwa hati ya dharura kinyume chake ilitaka kusomwa leo hivyo mnyika akaomba muongozo hapo ndipo mama makinda akangaka kwa hasira eti kwanini analazimishwa kutoa muomgozo ndipo Wabunge wa ukawa wakapinga kwa kusimama juu, Makinda akagikiri wanataka kutoka nje ndipo lisu akasema hatoki mtu.

Ghafla makinda kazira bila hata kutoa kauli ya kuhairisha bunge huyo akaanza kutoka.

Hahahaha!! Very interesting ,kwa hiyo leo ukawa hawakutoka bungeni bali wabunge wa ccm ndo wametoka mjengoni. Wataheshimiana tu.
 
kama kila upande utakua unadondosha miswaada makusudi,hata hiyo katiba kupatikana haitapatikana kamwe hata kama watawala watakuwa wa ukawa,maana utamaduni sasa ni kusimama bungeni na kupiga kelele mpaka bunge linaahirishwa
Wapi! wananchi huku nje tunapima kama kelele za kutetea ufisadi ITAKUWA WANAJIZIKA WENYEWE. BALI KAMA NI KWA MASLAHI YA NCHI TULIOWATUMA KAZI TULIOWENGI KAMWE HATUTOWALAUMU. Angalia mfano kwa thread hii.
 
Kumbe inawezekana watu kugoma bila kutoka nje hadi Bunge likaahirishwa! Hii habari ya kususia bunge imetugharimu sana huko nyuma wakati inawezekana kabisa kukubali kutokubaliana hata kura zizipigwe wala muswada kupitishwa..

Nachotaka kuuliza UKAWA wamepinga nini kuhusu muswada huu wa Gas na Mfuta? kwa sababu umeletwa kama muswada wa dharura au kwa sababu hawakubaliani na yaliyomo?
 
Kumbe inawezekana watu kugoma bila kutoka nje hadi Bunge likaahirishwa! Hii habari ya kususia bunge imetugharimu sana huko nyuma wakati inawezekana kabisa kukubali kutokubaliana hata kura zizipigwe wala muswada kupitishwa..

Nachotaka kuuliza UKAWA wamepinga nini kuhusu muswada huu wa Gas na Mfuta? kwa sababu umeletwa kama muswada wa dharura au kwa sababu hawakubaliani na yaliyomo?

Mkuu Mkandara kwenye Vita haitakiwi kukariri mbinu ya Vita hao jamaa wa CCM nawao walitegemea hivyo kwamba Jamaa watatoka lkn mwisho wa MADAME ndo kakimbia KITI
 
Last edited by a moderator:
Miswada mitatu ijadiliwe na kupitishwa ndani ya wiki moja? Kweli nchi imeoza, mihimili mitatu yote bure kabisa...kuanzia Rais, Bunge hadi Mahakama. Miswada mitatu tena ya manufaa kwa nchi mnaijadili wiki ya mwisho ya bunge!!! Makinda patheic kabisa.
Na bado, come October upinzani ukiwa na viti vya kutosha bungeni serikali itaisoma namba...tunataka 50%-50% bunge mkome kuinyonya nchi.

Kaka samahani..., tunataka UKAWA 55%, CCM 45%....
Aim high always ...
 
Mkuu Mkandara kwenye Vita haitakiwi kukariri mbinu ya Vita hao jamaa wa CCM nawao walitegemea hivyo kwamba Jamaa watatoka lkn mwisho wa MADAME ndo kakimbia KITI
Maana yangu ni kwamba hata huko nyuma hawakutakiwa kukimbia Bunge, mbinu hii iliyotakiwa waitumie huko wanasimama kidete hadi kieleweke. Ndio ilikuwa Lugha ya Chadema miaka yote - Tutabanana humu humu hadi kieleweke au sivyo!
 
Miswada hii ina masirahi makubwa sana kwa taifa letu kwa kizazi hiki na kizazi kijacho iweje ipelekwe bungeni kwa dharula au ina masirahi kwa wachache, pia watanzania ufike muda tuwe na uwezo wa kupaza sauti zetu ktk kutetea rasilimali zetu, nawapongeza sana wabunge wa UKAWA kwa kupinga hii miswada kwa nguvu zote .
 
Reading is fundamental soma tena labda utaelewa huhitaji Phd ili kuelewa hili.

Kumbe inawezekana watu kugoma bila kutoka nje hadi Bunge likaahirishwa! Hii habari ya kususia bunge imetugharimu sana huko nyuma wakati inawezekana kabisa kukubali kutokubaliana hata kura zizipigwe wala muswada kupitishwa..

Nachotaka kuuliza UKAWA wamepinga nini kuhusu muswada huu wa Gas na Mfuta? kwa sababu umeletwa kama muswada wa dharura au kwa sababu hawakubaliani na yaliyomo?
 
Hiki ndicho kilitakiwa kufanywa wakati wa BMK wanaume hawakimbii wanapambana
 
mkuu haya yote manasiasa ya afrika ni hovyo nigewaona wote wa maana kama wagepinga kuripwa posho ya 230 mln kwa utumishi wa miaka 5,wakati sisi watumishi tunalipwa 70-90 kwa miaka 30.hawana dhamira ya dhati,
kwa kazi ya leo UKAWA wabunge wake wana kila haki ya kubeba hizo mil. 233/ sio hao wa ccm wa kusema ndioo wakati nchi inauzwa. Wameokoa nchi isipelekwe kifisadi. mnaotetA HAMNA HOJA.
FUNGUA UZI kuhusu 233mil tujadili nani apewe na kwa kazi ipi aliofanya bungeni. kulala au kutetea nchi
KWA TAARIFA YAKO YA KUPINGA NI MENGI. KIASI KWAMBA WAKIFANYA KWA MKUPUO HAKITAELEWEKA. Ngoma na mchezo unaenda kwa timing mana nyani sasa kifo chake kimekaribia miti yote yatelezaa.....
 
Wabunge wa upinzani ni majembe ya kweli Bungeni si kama hawa wahuni wenye kubariki kila uhuni, ufisadi, upokeaji rushwa na kila aina ya uchafu unaofanywa ndani ya Serikali na bungeni.

hili bunge bila wabunge wa upinzani ni muhuri tu wa mambo ya serikali...
 
Wakati mwingine ndio maana nawashangaa sana watanyika hapa Tunafurahia nakusifu kz nzuri ya jamaa wa UKAWA bt linapokuja swala lakuwachagua kila mtu anafikiria wagombea kutoka GAMBAZ ikiwa tunapenda kuheshimu kz nzuri wanazofanya lazima tuwachague sio kufikiria Mgombea kutoka ccm huko hakuna mgombea yyt mwenye uchungu na NCH hii nasasa Issue hiyo imekuja wakati mwafaka kuwaonyesha kiasi gani CCM icvyostahili kupeqa tena Ridhaa kwenye NCHI hii labda baada ya 10yrs yakuwa chama cha upinzani
 
Back
Top Bottom