Mack84
Member
- Mar 18, 2020
- 7
- 6
Watanzania kweli hatufuatilii mambo kwa umakini, Komu na Selasini wamebaki kuwa wabunge kwa sababu Chadema imejali maslahi mapana ya wananchi wa majimbo hayo! Ndo maana hawajawafukuza ili wabaki kuwahudumia wananchi lakini si kwa sababu ya Katiba.Wewe ndio unajidanganya.
Waulize Selasini na Komu ambao wamehamia NCCR Mageuzi kinachowabakiza bungeni ni nini?
Katiba inasema mbunge akishafukuzwa uanachama anakoma kuwa mbunge. Unakumbuka Zitto Kabwe, alibakiza mwaka mmoja lakini alikoma kuwa mbunge kwa sababu alikosa mwamvuli wa kumuweka bungeni.