mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Wabunge hao wamezuiliwa kuhudhuria kwenye sherehe ya kuapishwa Rais Magufuli jambo ambalo halipendezi hata kidogo.
Swali kwao ni kwamba, kama leo wamegoma je, siku ya kulihutubia bunge tarehe 17 napo watagoma kwenda?
Swali kwao ni kwamba, kama leo wamegoma je, siku ya kulihutubia bunge tarehe 17 napo watagoma kwenda?