Wabunge wa CHADEMA hawajafanya jambo la busara

Wabunge wa CHADEMA hawajafanya jambo la busara

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Wabunge hao wamezuiliwa kuhudhuria kwenye sherehe ya kuapishwa Rais Magufuli jambo ambalo halipendezi hata kidogo.
Swali kwao ni kwamba, kama leo wamegoma je, siku ya kulihutubia bunge tarehe 17 napo watagoma kwenda?
 
kama watakubali watakuwa wameitikia mwito wa nani?
 
Tatizo wanaburuzwa tu ngoja tuone kama watasusia na ubunge.
 
Wabunge hao wamezuiliwa kuhudhuria kwenye sherehe ya kuapishwa Rais Magufuli jambo ambalo halipendezi hata kidogo.
Swali kwao ni kwamba, kama leo wamegoma je, siku ya kulihutubia bunge tarehe 17 napo watagoma kwenda?

Hongera kwa kuanzisha uzi.

Subiri muda ukifika uone kitakachotokea.
 
Wabunge hao wamezuiliwa kuhudhuria kwenye sherehe ya kuapishwa Rais Magufuli jambo ambalo halipendezi hata kidogo.
Swali kwao ni kwamba, kama leo wamegoma je, siku ya kulihutubia bunge tarehe 17 napo watagoma kwenda?

Siwezi ongelea uchaguzi wa tz sana kama mkenya lakini umenikumbusha Uhuru akiapishwa aliyeshindwa uchaguzi Raila na mgombea mwenza wake Kalonzo walikuwa eti south afrika 'holiday'.Nilichukizwa sana na tabia hiyo ya kitoto na isiyo ya kizalendo.Urais ni wa kuunganisha nchi yote kwa jumla haijalishi nani kaketi kwenye kiti hicho.
 
Siwezi ongelea uchaguzi wa tz sana kama mkenya lakini umenikumbusha Uhuru akiapishwa aliyeshindwa uchaguzi Raila na mgombea mwenza wake Kalonzo walikuwa eti south afrika 'holiday'.Nilichukizwa sana na tabia hiyo ya kitoto na isiyo ya kizalendo.Urais ni wa kuunganisha nchi yote kwa jumla haijalishi nani kaketi kwenye kiti hicho.

We wasema, pilipili usokula mkuu...........
 
We wasema, pilipili usokula mkuu...........

Aisee we wacha bana sijasema kwa ubaya lakini vitendo kama hivyo vinafanywa kwa hasira mwaka ukipita watakumbuka waone aibu sana.Tena kwa kiongozi haifai labda wafuasi Kubali tu yaishe.
 
Siwezi ongelea uchaguzi wa tz sana kama mkenya lakini umenikumbusha Uhuru akiapishwa aliyeshindwa uchaguzi Raila na mgombea mwenza wake Kalonzo walikuwa eti south afrika 'holiday'.Nilichukizwa sana na tabia hiyo ya kitoto na isiyo ya kizalendo.Urais ni wa kuunganisha nchi yote kwa jumla haijalishi nani kaketi kwenye kiti hicho.
Jamaa wana akili za kitoto sana!
 
Jamaa wana akili za kitoto sana!

Kweli mkuu,haina haja kina raila waliposusia kuapishwa kwa Uhuru kuna mtu alinena kitu kilichowauma sana,alisema watu wa upinzani walisusia kuja uwanjani waone moja kwa moja wakaamua wabaki manyumbani waone kwenye tv.Ni kweli maanake hivo ndivyo walivofanya macho yao yote yalikuwa kwenye tv wasipitwe!Sasa kususia kulifaidi nani?
 
Siwezi ongelea uchaguzi wa tz sana kama mkenya lakini umenikumbusha Uhuru akiapishwa aliyeshindwa uchaguzi Raila na mgombea mwenza wake Kalonzo walikuwa eti south afrika 'holiday'.Nilichukizwa sana na tabia hiyo ya kitoto na isiyo ya kizalendo.Urais ni wa kuunganisha nchi yote kwa jumla haijalishi nani kaketi kwenye kiti hicho.

Mkenya gani wewe poyoyo unaongea kiswahili cha Mkuranga?! Au ninyi ndio wale makaka wa kule Mitaa ya Shimoni Mombasa
 
Back
Top Bottom