kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 514
acha viroja jibu hoja
Sio wabunge bunafsi wanachaguliwa kupitia chama. Na wa ccm wanapoungana kutetea serekali yao ni kwasababu ya uchama wao.
La pili, sio lazima wawepo, hakuba sheria inayowalazimu kuwepo. Maandamano mumewakataza, kugomea ni uhuru wao. Kwahio sio hoja hata kidogo. Juzi hapa mashabi wa ccm kidogo wawatoe roho Mengi na waandishi wake, kisa eti alikua anapendelea upinzani. Inaonekana ccm hawataki wapinzani japo tuna mfumo wa vyama vingi. Sasa wangekuja uwanjani ndo ingesaidia nini? Ili wazomewe au waje kufanya nini uwanjani?