Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Kuna Tetesi kwamba Wabunge wa CCM wamepigwa Mkwara na Chama chao kutokutaka Ushahidi toka kwa Wabunge wa Upinzani pale wanapowasilisha madai yao dhidi ya Serikali.
Kwani kwa kutaka ushahidi kumepelekea Wabunge hao wa Upinzani kuleta Ushahidi ambao umekuwa ukiumbua Serikali na Viongozi wake kama ule wa Lema na Waziri Mkuu, ule wa Kafulila, ule wa Zitto na hata ule wa Tundu Lissu n.k.
Hii imepelekea hata jana Mh. Mnyika alipotamka kuwa anaushahidi kuwa kuna viongozi wa dola waliohongwa na Wafanyabiashara ya Mafuta hakuna Mbunge yeyote wa CCM aliyetaka Mh. Mnyika alete Ushahidi.
Nawasilisha.
Kwani kwa kutaka ushahidi kumepelekea Wabunge hao wa Upinzani kuleta Ushahidi ambao umekuwa ukiumbua Serikali na Viongozi wake kama ule wa Lema na Waziri Mkuu, ule wa Kafulila, ule wa Zitto na hata ule wa Tundu Lissu n.k.
Hii imepelekea hata jana Mh. Mnyika alipotamka kuwa anaushahidi kuwa kuna viongozi wa dola waliohongwa na Wafanyabiashara ya Mafuta hakuna Mbunge yeyote wa CCM aliyetaka Mh. Mnyika alete Ushahidi.
Nawasilisha.