nakubaliana na ww nilishanga sana nanilisema lazima magamba waombe muongozo kuhusu ushahidi lakini ikawa G itakuwa ni kweli
Nimeipenda hii, itakuwa mbinu mbadala na ya kisayansi zaidi. Naam,Tundu akimwaga vitu kuhusu uchafu wa serikali na kiongozi Sugu anang'aka kutaka ushahidi na anakomaa kwelikweli sijui watatokea wapi.
Wacha wapigane mkwara- wataumbuka sana safari hii. Bado hata mwaka mmoja haujaisha. Kila ninapoona Mnyika anawaumbua mimi nakumbuka mikesha ya karibu siku 3 kulinda kura zake. Halafu najipongeza mwenyewe.