Dr. Jascho
Member
- Aug 10, 2011
- 5
- 0
Hapo Sasaaaaaaaa!
Yaani hadi vichekesho sasa.
Nadhani sasa mbunge wa upinzani anapoweka wazi udhalimu fulani ni vizuri akawauliza wabunge 'mnahitaji ushahidi' nadhani Wabunge wa CCM kwa haraka haraka watajibu 'Hapana hatuhitaji'.
Kuna Tetesi kwamba Wabunge wa CCM wamepigwa Mkwara na Chama chao kutokutaka Ushahidi toka kwa Wabunge wa Upinzani pale wanapowasilisha madai yao dhidi ya Serikali.
Kwani kwa kutaka ushahidi kumepelekea Wabunge hao wa Upinzani kuleta Ushahidi ambao umekuwa ukiumbua Serikali na Viongozi wake kama ule wa Lema na Waziri Mkuu, ule wa Kafulila, ule wa Zitto na hata ule wa Tundu Lissu n.k.
Hii imepelekea hata jana Mh. Mnyika alipotamka kuwa anaushahidi kuwa kuna viongozi wa dola waliohongwa na Wafanyabiashara ya Mafuta hakuna Mbunge yeyote wa CCM aliyetaka Mh. Mnyika alete Ushahidi.
Nawasilisha.
Waache wachimbane mikwara tuu......... Kuna namna nyingine ya kufanya.............. kwa mfano... Mnyika anaongea halafu Lisu anaomba ushahidi........AU ........... Mnyika anaongea.... Kafulila anaomba ushahidi......... INAKUWA KWISHNEIIII....
Nimeipenda hii, itakuwa mbinu mbadala na ya kisayansi zaidi. Naam,Tundu akimwaga vitu kuhusu uchafu wa serikali na kiongozi Sugu anang'aka kutaka ushahidi na anakomaa kwelikweli sijui watatokea wapi.Ni afadhali umetujuza, asante sana, ifuatayo ni mbinu mbadala: wabunge wa upinzani wanapoibua tuhuma/hoja zenye ushahidi, wasisubiri ushahidi uombwe na wabunge wa CCM, mfano anaweza kutoa hoja Lema na zitto au Regia kwa niaba ya bunge awashawishi wabunge mtoa hoja alete ushahidi.
CCM wakipinga ushahidi usiletwe tafsiri ya moja kwa moja tuhuma zinajithibitisha, wakiunga mkono unapelekwa ushahidi mzito kwa msisitizo wa kutakiwa usomwe bungeni wapiga kura wamjue mkweli ni nani. Hawawezi kuusimamisha wakati!!
Yaani hadi vichekesho sasa.
Nadhani sasa mbunge wa upinzani anapoweka wazi udhalimu fulani ni vizuri akawauliza wabunge 'mnahitaji ushahidi' nadhani Wabunge wa CCM kwa haraka haraka watajibu 'Hapana hatuhitaji'.
Kuna Tetesi kwamba Wabunge wa CCM wamepigwa Mkwara na Chama chao kutokutaka Ushahidi toka kwa Wabunge wa Upinzani pale wanapowasilisha madai yao dhidi ya Serikali.
Kwani kwa kutaka ushahidi kumepelekea Wabunge hao wa Upinzani kuleta Ushahidi ambao umekuwa ukiumbua Serikali na Viongozi wake kama ule wa Lema na Waziri Mkuu, ule wa Kafulila, ule wa Zitto na hata ule wa Tundu Lissu n.k.
Hii imepelekea hata jana Mh. Mnyika alipotamka kuwa anaushahidi kuwa kuna viongozi wa dola waliohongwa na Wafanyabiashara ya Mafuta hakuna Mbunge yeyote wa CCM aliyetaka Mh. Mnyika alete Ushahidi.
Nawasilisha.
mkuu asnteni sana kulinda kura za Mnyika maana kichwa kama hiki kingechakachuliwa...daah sasa wagombea wangapi wa cdm wazuri kama Mnyika wamechakachuliwa? serikali itaumbuka very soon....Wacha wapigane mkwara- wataumbuka sana safari hii. Bado hata mwaka mmoja haujaisha. Kila ninapoona Mnyika anawaumbua mimi nakumbuka mikesha ya karibu siku 3 kulinda kura zake. Halafu najipongeza mwenyewe.
Ni kweli kabisa hawa vilaza wa CCM wamepigwa mkwara.
Kama kuna mtu anabisha aseme nitoe USHAHIDI.
Yaani hadi vichekesho sasa.
Nadhani sasa mbunge wa upinzani anapoweka wazi udhalimu fulani ni vizuri akawauliza wabunge 'mnahitaji ushahidi' nadhani Wabunge wa CCM kwa haraka haraka watajibu 'Hapana hatuhitaji'.
Naunga mkono kwa 100%!sasa kama kuna dhana ya kutokuomba ushahidi basi mtoa tuhuma anaweza toa tuhuma na ushaidi nusu kimitego kusudi wajifanye kuomba zaidi hapo ndipo amwage data za kutosha ili waumbuke
<br />Nimeipenda hii, itakuwa mbinu mbadala na ya kisayansi zaidi. Naam,Tundu akimwaga vitu kuhusu uchafu wa serikali na kiongozi Sugu anang'aka kutaka ushahidi na anakomaa kwelikweli sijui watatokea wapi.
Lukuvi, Mary Nagu, Kigwangalla, Mwigulu Nchemba na Samwel Sitta hawakuwepo bungeni nini?
Walikuwa wanafikiri ushahidi utawaumbua wapinzani ikawa vice versa.!