Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,835
Kama kusema ukweli ni unafiki acha awe MNAFIKI
Aende chadema aone kama atapata hata fursa ya kuisema chadema kama atakaa hata wiki..mbowe alitoa jina la Msigwa kwenye mfuko katika uchaguzi unaona kuna aliye shout pamoja na kampeni zote walizofanya na gharama alizoingia ole sosopi?Una weka uthibitisho kuwa ili uwe mwanachama mtiifu wa CCM lazima uwe muongo na mnafiki....
Nipe list ya watu waliotekwa.....acha ku exaggerateMtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.
Unauliza swali kinfk wakati Jibu unalo na hali halisi unaifahamuNipe list ya watu waliotekwa.....acha ku exaggerate
umeongea ukweli mtupuKweli msimuige bashe wala nape semeni uwongo na mkishikiwa bastola semeni ni pipi kijiti.
Hawataki maslahi ya Taifa wanataka Rais afeli kuwatumikia wananchi kwa kusema uongoKweli msimuige bashe wala nape semeni uwongo na mkishikiwa bastola semeni ni pipi kijiti.
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.
Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.
2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.
Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.
Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.
Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
unafiki mzigo sana
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.
Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.
2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.
Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.
Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.
Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.
Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.
2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.
Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.
Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.
Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Sasa hapo alitekwa?
Sasa hapo alitekwa?
Una mawazo ya Kumasikini sana tena sanaUsalama uko mikononi mwako na kutokuwa salama kupo mikononi mwako..ni suala la maamuzi tu..hata ukiishi na jirani yako vibaya jihesabu hauko salama..maana lolote baya liñaweza kukuta.
Labda mzalendo wa somaliaBashe ni mzalendo na anajielewa kuzidi wabunge wengi wa CCM
Wabunge wamechaguliwa na wananchi ingependeza wanasiasa wote wakawasikiliza waliowachagua matakwa yao kama haiwezekani tuwapige chini. Mikoa inayoweza ni michache sana kuachana na wabunge wa ndio, elimu ndio kikwazo natamani mikoa yote ingekua kama mikoa ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kaskaziniMtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.
Unamaanisha kwa sababu alijua chama chake ni kivuli cha CCM sio?!Sababu alijua chama chake ni kivuli cha vyama..unajua hata ofisi zao zilipo??
Kinana umemtaja weweKwa hiyo unatilia shaka uzalendo wa Katibu Mkuu wetu wa chama Kamaradi Kinana?
Ukosefu wa hoja hupelekea mtu kuwa mbaguzi. Watu kama hawa Mwl Nyerere aliwaita ni makaburu tuLabda mzalendo wa somalia
Dhambi mbaya ya ubaguzi, enzi za Nyerere wabaguzi wa namna hii aliwaaita makaburuMsomali tangu lini akawa mzalendo?