Wabunge wa CCM msimuige Hussein Bashe

Wabunge wa CCM msimuige Hussein Bashe

Una weka uthibitisho kuwa ili uwe mwanachama mtiifu wa CCM lazima uwe muongo na mnafiki....
Aende chadema aone kama atapata hata fursa ya kuisema chadema kama atakaa hata wiki..mbowe alitoa jina la Msigwa kwenye mfuko katika uchaguzi unaona kuna aliye shout pamoja na kampeni zote walizofanya na gharama alizoingia ole sosopi?
 
Mtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.
Nipe list ya watu waliotekwa.....acha ku exaggerate
 
ishu fact zinazotolewa cyo uchama.tatizo letu tunachukulia siasa kama usimba na uyanga kwamba no matter what lazima nishinde ili nimzomee mpinzani.we hv to know dat siasa haipo hivyo.lazma tuangalie tunasonga vipi mbele.so cjui Bashe ana uanachama wavyama viwili ukiambiwa uzibtishe utazbitisha?be care fully JPM alishasema
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.

kura walitafuta wao, form walichukua wao, iweje wewe uwapangie wa kutomuiga?! haya mambo ya kupangiana hata rais hayapendi kabisa, na wabunge nao hawapendi. hivyo basi fanya yako na hakuna atakayekupangia
 
fce261fcb1de39bcda8b264a625ff806.jpg
 
Wakiwa Bungeni tunayegemea waweke maslahi ya taifa kwanza vyama baadae ila huku Tanzania mambo ni tofauti.

Mumelishwa unga wa ndele mnawaza lichama lenu muda wote.

Mlaaniwe

Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
 
Usalama uko mikononi mwako na kutokuwa salama kupo mikononi mwako..ni suala la maamuzi tu..hata ukiishi na jirani yako vibaya jihesabu hauko salama..maana lolote baya liñaweza kukuta.
Una mawazo ya Kumasikini sana tena sana
 
Mtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.
Wabunge wamechaguliwa na wananchi ingependeza wanasiasa wote wakawasikiliza waliowachagua matakwa yao kama haiwezekani tuwapige chini. Mikoa inayoweza ni michache sana kuachana na wabunge wa ndio, elimu ndio kikwazo natamani mikoa yote ingekua kama mikoa ya nyanda za juu kusini na mikoa ya kaskazini
 
Back
Top Bottom