chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,418
wabunge mawaziri kutetea watekaji kweli viongozi wetu wamelaaniwa.
Labda mzalendo wa somalia
Mwingine ni Bashe, katekwa na maafisa wa Usalama wa taifa na kwenda kuteswa!Mbona walivyotekwa kina ulimboka walikaa kimya na hadi leo ukiwauliza ulimboka yuko wapi hao wabunge hawajui?? Ukitoa tukio la Roma nani mwingine ametekwa?? Maana Ben Saanane ilishakatàzwa kuzungumzia na mbowe..na T-shirt mlizonunua mkazivua..
Huyo msomali aende kwao akasaidie peace keeping..siasa za Tanzania za kulazimisha kutekwa hataziweza.
Hawa watu kuna siku watasema hata watoto wetu waliozaliwa nje ya nchi siyo Raia wa Watanzania!!Toa ushahidi wa tuhuma zako juu ya uraia pacha wa Bashe.
Kwahyo mtu akimtukana mkuu hamn sheria za kumuadhibu mpk atekwe? Yaan kwako unaona sawaLakini nao kina Roma,maneno gani hayo ya kumtukana viongozi?.Nadhani wanatafuta kutekwa ili wajiongezee umaarufu
HahaaaaaKweli msimuige bashe wala nape semeni uwongo na mkishikiwa bastola semeni ni pipi kijiti.