Wabunge wa CCM msimuige Hussein Bashe

Wabunge wa CCM msimuige Hussein Bashe

Mtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.

Pumbavu wewe Ulimboka alitekwa Kenya na Kibanda alitekwa Rwanda acha kupotosha wewe na kwa bahati nzuri wanywa viroba ndiyo wanaotekwa kwa umalaya wao je Ulimboka unaweza kumlinganisha na huyo mcheza kiduku wenu ??
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Usituondolee hoja yake! Alikataa unafiki wa Simbachawene. Kusema Zitto alete ushahidi kuhusu watu kuteswa na Tiss.

Yeye Bashe ni mhanga ndiyo maana ameongea kwa hisia.

Yuko radhi kufukuzwa chama ikionekana kukataa kwake unafiki wa CCM ndiyo sababu ya kuvuliwa uanachama.

Lakini kumbuka chama chenu kinafukuza watu hovyo na pia hawapewi nafasi kujieleza. Viongozi wachache wanakaa na kuwafukuza wanachama.

Bashe hataki unafiki. Hayo mengine ni stori yako tu
 
Mtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.
Acheni ujuha nyie mazuzu.wanafiki wa kubwa...
Kibanda alitekwa ktk utawala huu?yule ulumboka nae je??

Upofu wenu pelekeni hukohuko kwenu na familia zenu
 
Usituondolee hoja yake! Alikataa unafiki wa Simbachawene. Kusema Zitto alete ushahidi kuhusu watu kuteswa na Tiss.

Yeye Bashe ni mhanga ndiyo maana ameongea kwa hisia.

Yuko radhi kufukuzwa chama ikionekana kukataa kwake unafiki wa CCM ndiyo sababu ya kuvuliwa uanachama.

Lakini kumbuka chama chenu kinafukuza watu hovyo na pia hawapewi nafasi kujieleza. Viongozi wachache wanakaa na kuwafukuza wanachama.

Bashe hataki unafiki. Hayo mengine ni stori yako tu
Huyo hakutekwa..aseme alikuwa kwenye shughuli zao za chama..ikatokea hali ya wao kushindwa kuelewana..na ndio maana siku ile alipohojiwa na azam TV alisema Katibu ataliongelea..hivi kweli inakuja atekwe yeye kisha Katibu alizungumzie..??
Huyu yupp kwenye harakati za mwisho za mfa Maji..urais wa lowassa umempa frustrations..yaani Bado haamini
 
Acheni ujuha nyie mazuzu.wanafiki wa kubwa...
Kibanda alitekwa ktk utawala huu?yule ulumboka nae je??

Upofu wenu pelekeni hukohuko kwenu na familia zenu
Hapana haukuwa utawala huuu ulikuwa wa Chadema
 
Hapana haukuwa utawala huuu ulikuwa wa Chadema
Akili fupi sana ...hizo ndoto mnazoota zitawapa uchizi.

Toka lini wehu wakashika dola???

Utawala wa jpm ni tofauti na tawala zilizopita!Mtanyooka tu
 
Yetu macho,lakini sitegemei Magufuri kugeuka jiwe,ni wazi Bashe na kundi lake watasimamishwa au watafutwa kabisa uanachama pammoja na ubunge.Sio mara ya kwanza chama hicho enzi za TANU walifukuzwa wabunge zaidi ya 10 kwa pammoja kwa mambo ya kutofautiana na serikali ya Nyerere
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Kweli haya post yako ni kknafki
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.

Hivyo wewe ndo mwenye akili kuliko wabunge wote hadi ujifanye kuwapa ushauri,mshauri kwanza mumeo kuchepuka then uje ushauri huku
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Kwanza anamalizia mda wake nina uhakika hatarudi 2020,,,ni yale mapandikizi ya babu wa mvi
 
Mbona walivyotekwa kina ulimboka walikaa kimya na hadi leo ukiwauliza ulimboka yuko wapi hao wabunge hawajui?? Ukitoa tukio la Roma nani mwingine ametekwa?? Maana Ben Saanane ilishakatàzwa kuzungumzia na mbowe..na T-shirt mlizonunua mkazivua..
Sio hivyo pekee mkuu bado pia hizovzote ni kikibzabwauza madawa tu baada ya kuminywa,kama ni utekaji hayo mambo hayatikei tu kwa jpm hata kwa jk yalitokea na umetoa mfano wa ulimboka walikuwa wapi? Hata kama mbowe alikataa kuliongelea la ben je wao kama bunge wamezimwa pia? Na kwann mbowe akatae kuingelea hilo then wakae kimya? Why kina roma tu ndo wamewaka kama nn

Hao waache kiki tushawapuuza kwanza wengi ni timu mamvi na membe.

Wananchi walio wengi hawana hata hizi mitandao ya kijamii hvyo hata hawajui kinachoendelea ndo maana sisi wa humu tuungane kumtetea rais wetu ili azidi kupiga kazi
 
Mtoa mada look before you leap hapa hakuna cha u CCM, Chadema ama Lowassa hapa ni maslahi ya taifa kwanza. Haya masuala ya utekaji na utesaji tulikuwa tunasikia huko Kenya wakati wa Moi (Nyayo House) ni wakati muafaka kuibana serikali la sivyo it will be too late.
Taifa lipi!?
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.
Bashe no sawa na MFA maji haachi kutapatapa, bosi wake fisadi papa keshakikimbia nchi amebaki yeye akijaribu kupigania na kulinda miradi ya bosi wake mkuu fisadi papa.
 
Huyo hakutekwa..aseme alikuwa kwenye shughuli zao za chama..ikatokea hali ya wao kushindwa kuelewana..na ndio maana siku ile alipohojiwa na azam TV alisema Katibu ataliongelea..hivi kweli inakuja atekwe yeye kisha Katibu alizungumzie..??
Huyu yupp kwenye harakati za mwisho za mfa Maji..urais wa lowassa umempa frustrations..yaani Bado haamini
Tatizo linalowakabili hivi sasa CCM ni Suala la *Itikadi ya chama chao* Watu wakizungumza ukweli mwisho wake wanapewa adhabu.Kwa hili alilozungumza Bashe ni la ukweli ila kwa upande wa chama chake amevunja mipaka hivyo basi ategemee adhabu.Sisi raia tumechoka na vitendo hivi vinavyoendelea,havifuraishi hata kidogo.
Ushauri kwa Raisi.
Naamini we ni msomaji wa social media sana na ni fan wa Jamii forum hata kama uliwai kusema unapuuzia mitandao.Mh. Rais,yapo mambo mengi uliyoyafanya mazuri tu mpaka hivi sasa.Ila pia yapo mambo mambo ambayo si mazuri pia uliyoyafanya.
Mh. Rais,umetengua uteuzi kwa watumishi wengi wa serikali ,wengine bila hata kosa.Mfano,Lawrence Mafuru alikua na kosa gani aliposema kuweka Fixed deposit si dhambi.
Mh Rais,watu uliowachagua ukiamini hawatakuangusha wanaishi na wewe kinafki.Kimtazamo wako na wewe ila kwenye mioyo yao wapo tofauti sana na wewe.Kwa hili,Muda ukifika utaelewa nachokisema.Mh Rais,huku mtaani hali ya maisha si nzuri kama unavyoambiwa na washauri wako.Unemployment is a timing Bomb,a threat,Curse to your next election.Mpka sasa Serikali katika ishu ya kuwaajiri walimu imeonekana imeshindwa.mtaani kuna awamu 3 so far wapo mtaani jobless na viongozi waliwapa moyo ikiwemo wewe kuwa ajira zitatoka.Mpaka hivi sasa ni vapour tu.Hasira zipo nyingi kila kona ila kwa yangu machache ni hayo.
 
Hii ni sawa na mtu mwenye uraia wa nchi mbili ambaye akiharibu nchi moja anaweza kwenda nchi nyingine.

Katika hali isiyo ya kawaida uchaguzi mkuu uliopita Bashe alisikika akisema kura za ubunge apewe yeye na za urais apewe Lowassa.

2010 wakati wa uchaguzi mkuu Zitto Kabwe alimpigia chapuo JK kuwa apewe kura za urais tokea kipindi hicho Zitto hakuishi tena kwa amani CHADEMA hadi alipoondoka.

Kwa kauli za Bashe hata kufikia kuomba afukuzwe ni wazi ana uhakika wa uanachama wa chama kingine ambapo boss wake na ambaye yeye ni msemaji wake mkuu yupo.

Bashe ni kama ghost member ambaye hata leo CCM ikifa au kuharibikiwa yeye hana cha kupoteza na ndio maana alitoa go ahead kwa wapiga kura wake kumpa kura Lowassa hali akijua kupoteza urais ni mwanzo wa kufifia na kukosa nguvu kwa chama ambacho anajaribu kuaminisha watu yumo.

Wito wangu ni makada wa CCM wasiokuwa na uraia wa vyama viwili kukaa mbali na Bashe na kumuachia ngoma acheze mwenyewe kama alivyoicheza kwenye kampeni maana yeye akikosa huku anako kule ambapo moyo wake ( Lowassa) upo.

Kuna siku utajitambua!!
 
Back
Top Bottom