Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Wakuu.
Mnakumbuka kuwa uchaguzi wa mwaka 2010 ulitawaliwa na uchakachuaji wa hali ya juu huku wabunge wengi wa ccm wakitangazwa washindi kwa mizengwe iliyo ambatana na ufyatuaji risasi na upigaji wa mabomu ya machozi.
Wabunge wa ccm ambao hawakushinda ki halali ni.
1. Makongoro Mahanga v/s Mpendazoe wa chadema. Ukonga
2. Omari Nundu v/s Mussa Mbarouk wa Cuf Tanga.
3. Peter Serukamba v/s.... Wa chadema Kigoma mjini.
4. Mbunge wa kibaha v/s Habib Mchange wa chadema.
Ongeza orodha.
5........
6........
Mnakumbuka kuwa uchaguzi wa mwaka 2010 ulitawaliwa na uchakachuaji wa hali ya juu huku wabunge wengi wa ccm wakitangazwa washindi kwa mizengwe iliyo ambatana na ufyatuaji risasi na upigaji wa mabomu ya machozi.
Wabunge wa ccm ambao hawakushinda ki halali ni.
1. Makongoro Mahanga v/s Mpendazoe wa chadema. Ukonga
2. Omari Nundu v/s Mussa Mbarouk wa Cuf Tanga.
3. Peter Serukamba v/s.... Wa chadema Kigoma mjini.
4. Mbunge wa kibaha v/s Habib Mchange wa chadema.
Ongeza orodha.
5........
6........