Rose kamili Slaa v/s Mary NaguKomu wa chadema v/s waziri wa viwanda na biashara. jimbo la moshi vijijini.
Kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeeh!!!!!
JK ndiyo mbunge wa jimbo gani vile?
ShelembiUmenikumbusha kitu! Yule mbunge wa chadema shinyanga mjini alikuwa kashinda kabisa mabingwa wakamchakachua, nani anamkumbuka jina yule marehemu? Walio muibia Mungu hatawaacha salama kwa dhuluma zao.
Umenikumbusha kitu! Yule mbunge wa chadema shinyanga mjini alikuwa kashinda kabisa mabingwa wakamchakachua, nani anamkumbuka jina yule marehemu? Walio muibia Mungu hatawaacha salama kwa dhuluma zao.
JUMA NJWAYO CCM Vs KATANI AHMED CUF-TANDAHIMBA
Juma njwayo ccm vs ahmed katani cuf tandahimba,
Mkuu wewe zishushe tu zitamfikia, hiyo inaitwa "echo reflection" au dopler effects. Mchane chane ili kazi ianze kabla ya 2015 atakuwa keshalowa mbaya na hatakuwa na hamu.Ki ukweli katika majimbo yote hili la Shinyanga mjini ilikuwa balaa....Stephen Masele mwenyewe anajua walichofanya na kama anaweza kutuhakikishia kuwa alishinda kiukweli hebu alonge hapa JF tumpe vidonge live.....Achani ufisadi wenu mpaka kwenye kura.....tutakushushia hata siri zako za Tigo...tunakujua vizuri tokea Stanbic wala hutudanganyi kitu.....
Wakuu.
Mnakumbuka kuwa uchaguzi wa mwaka 2010 ulitawaliwa na uchakachuaji wa hali ya juu huku wabunge wengi wa ccm wakitangazwa washindi kwa mizengwe iliyo ambatana na ufyatuaji risasi na upigaji wa mabomu ya machozi.
Wabunge wa ccm ambao hawakushinda ki halali ni.
1. Makongoro Mahanga v/s Mpendazoe wa chadema. Ukonga
2. Omari Nundu v/s Mussa Mbarouk wa Cuf Tanga.
3. Peter Serukamba v/s.... Wa chadema Kigoma mjini.
4. Mbunge wa kibaha v/s Habib Mchange wa chadema.
Ongeza orodha.
5........
6........