panadol
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 349
- 44
Hayo ndiyo maneno ya wakosaji siku zote chadema hamkubali kuwa mmeshindwa ni kulalamika tu mwanzo mwisho mbona hamsemi uzini na igunga viongozi wote wa chadema pamoja na wabunge wote wa Chadema walishiriki kudhibiti uwizi wa kura mtaa mpaka mtaa,kituo mpaka kituo katika majimbo hayo wakati wa uchaguzi na ikala kwao mbona hamsemi hilo na sasa inakuja Arumeru mashariki,jamani kumbukeni hasiyekubali kushindwa si mshindani na mkae mkijua chadema haina wanachama wa kutosha ina mashabiki wengi ambao hubadilika kila kukicha leo utawaona chadema kesho utawaona Cuf,mara utawaona ADM si ndiyo chama kipya au kwingineko kwa hiyo si watu wa kujivunia wakati huo wenzao CCM ina wanachama wengi wenye upendo wa kweli kwa chama chao wako tayari kukipigania chama chao kweli kweli wala si kinafiki hii ni ndiyo siri ya mafanikio kwa CCM!