Wabunge wa CCM ambao hawakushinda kihalali

Umenikumbusha kitu! Yule mbunge wa chadema shinyanga mjini alikuwa kashinda kabisa mabingwa wakamchakachua, nani anamkumbuka jina yule marehemu? Walio muibia Mungu hatawaacha salama kwa dhuluma zao.

Shillembi
 
Wakuu.
Mnakumbuka kuwa uchaguzi wa mwaka 2010 ulitawaliwa na uchakachuaji wa hali ya juu huku wabunge wengi wa ccm wakitangazwa washindi kwa mizengwe iliyo ambatana na ufyatuaji risasi na upigaji wa mabomu ya machozi.

Wabunge wa ccm ambao hawakushinda ki halali ni.
1. Makongoro Mahanga v/s Mpendazoe wa chadema. Ukonga
2. Omari Nundu v/s Mussa Mbarouk wa Cuf Tanga.
3. Peter Serukamba v/s.... Wa chadema Kigoma mjini.
4. Mbunge wa kibaha v/s Habib Mchange wa chadema.
Ongeza orodha.
5........
6........
Goodluck Olemedeye vs Mathias Ole Kisambu wa CDM (Arumeru Magh.)
Ole Nangoro vs Victor Kimesera wa CDM (Kiteto)
Solomon Sumari vs Joshua Nassari wa CDM (Arumeru Mash.)
Abdul Mteketa vs Regia Mtema wa CDM (Kilombero)
Steven Masele vs James Shelembi wa CDM (Shy Mjn)
Mary Nagu vs Rose Kamili wa CDM (Hanang)
Jitu Sony vs Laurent Tsaxara wa NCCR (Babati vijijini)
Telele ole Timan vs Profesa Parkipuny wa CDM (Ngorongoro)
 
Wakuu.
Mnakumbuka kuwa uchaguzi wa mwaka 2010 ulitawaliwa na uchakachuaji wa hali ya juu huku wabunge wengi wa ccm wakitangazwa washindi kwa mizengwe iliyo ambatana na ufyatuaji risasi na upigaji wa mabomu ya machozi.

Wabunge wa ccm ambao hawakushinda ki halali ni.
1. Makongoro Mahanga v/s Mpendazoe wa chadema. Ukonga
2. Omari Nundu v/s Mussa Mbarouk wa Cuf Tanga.
3. Peter Serukamba v/s.... Wa chadema Kigoma mjini.
4. Mbunge wa kibaha...(Koka) v/s Habib Mchange wa chadema.
Ongeza orodha.
5........
6........



Mbunge wa Kibaha nafikiri ni Koka
 
Magadula Shelembi, may GOD rest his soul in peace.

DHULUMA aliyofanyiwa MAREHEMU Shelembi, sidhani hata MUNGU anaweza kuwasamehe NEC.

Siku ya kutangaza matokeo, msimamizi wa ucahguzi kwanza alitoka na kumtangaza Marehemu Shelembi MSHINDI. Lakini baadaye tukaambiwa kura zina matatizo, hivyo tusubiri mshindi atatangazwa tena baadaye.

KESHO yake ndipo msimamizi wa uchaguzi akamtangaza Masselle wa CCM kuwa ni mshindi KWA KURA MOJA zaidi ya Shelembi. Hadhara iliyokuwepo ninakumbuka akina mama kuangua vilio, na vijana kufanya vurugu kubwa, ambapo mabomu yalipigwa.

Tangu siku hiyo msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mkurugenzi wa SHY (M) hakuonekana tena SHY na wala hajawahi kurudi kabisa SHY. DHULUMA nyingine zinaweza kumfanya mtu afanye lolote lile, lakini hili la Shelembi V Massele SHY mimi ninaona ulikuwa uchakachuaji FUNGA KAZI kwenye uchaguzi wa 2010.

RIP Shelembi
 
Celina Kombani, huyu alipita bila kupingwa, baada ya kumfanyia UMAFIA kwa kumtumia MAJAMBAZI mgombea CDM siku alipokuwa anarudisha forms zake kwa msimamizi wa uchaguzi. MAJAMBAZI hayo yalikodishwa na Selina Kombani yalimpora forms mgombea wa CDM mchana kweupe.

Leo mtu mwenye INTERGRITY ya aina hii ndiyo anasimamia mchakato wa KATIBA mpya! Labda kama anatengeneza KATIBA YA MAJAMBAZI lakini sio katiba WATANZANIA.
 
Celina Kombani, huyu alipita bila kupingwa, baada ya kumfanyia UMAFIA kwa kumtumia MAJAMBAZI mgombea CDM siku alipokuwa anarudisha forms zake kwa msimamizi wa uchaguzi. MAJAMBAZI hayo yalikodishwa na Selina Kombani yalimpora forms mgombea wa CDM mchana kweupe.

Leo mtu mwenye INTERGRITY ya aina hii ndiyo anasimamia mchakato wa KATIBA mpya! Labda kama anatengeneza KATIBA YA MAJAMBAZI lakini sio katiba WATANZANIA.

What goes around comes around. . .
 
Ki ukweli katika majimbo yote hili la Shinyanga mjini ilikuwa balaa....Stephen Masele mwenyewe anajua walichofanya na kama anaweza kutuhakikishia kuwa alishinda kiukweli hebu alonge hapa JF tumpe vidonge live.....Achani ufisadi wenu mpaka kwenye kura.....tutakushushia hata siri zako za Tigo...tunakujua vizuri tokea Stanbic wala hutudanganyi kitu.....
...mwenzao Peter Serukamba ananing;inizwa na pirato kigoma huko. Huenda kikao cha bunge mwezi April asiwe mjengoni dogo ngoma nzito!!
 
Wakuu.
Mnakumbuka kuwa uchaguzi wa mwaka 2010 ulitawaliwa na uchakachuaji wa hali ya juu huku wabunge wengi wa ccm wakitangazwa washindi kwa mizengwe iliyo ambatana na ufyatuaji risasi na upigaji wa mabomu ya machozi.

Wabunge wa ccm ambao hawakushinda ki halali ni.
1. Makongoro Mahanga v/s Mpendazoe wa chadema. Ukonga
2. Omari Nundu v/s Mussa Mbarouk wa Cuf Tanga.
3. Peter Serukamba v/s.... Wa chadema Kigoma mjini.
4. Mbunge wa kibaha v/s Habib Mchange wa chadema.
Ongeza orodha.
5........
6........

Huyu Makongoro Mahanga si ndie alikutwa akikimbia na masanduku ya kura usiku wa manane na mkitambi wake? Yule Maselle Anaroho mbaya, alipoona Kamanda Shilembi anaelekea kushinda akamuendea kwa Sangoma. R.I.P Kamanda Shilembi!
 
DHULUMA aliyofanyiwa MAREHEMU Shelembi, sidhani hata MUNGU anaweza kuwasamehe NEC.

Siku ya kutangaza matokeo, msimamizi wa ucahguzi kwanza alitoka na kumtangaza Marehemu Shelembi MSHINDI. Lakini baadaye tukaambiwa kura zina matatizo, hivyo tusubiri mshindi atatangazwa tena baadaye.

KESHO yake ndipo msimamizi wa uchaguzi akamtangaza Masselle wa CCM kuwa ni mshindi KWA KURA MOJA zaidi ya Shelembi. Hadhara iliyokuwepo ninakumbuka akina mama kuangua vilio, na vijana kufanya vurugu kubwa, ambapo mabomu yalipigwa.

Tangu siku hiyo msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mkurugenzi wa SHY (M) hakuonekana tena SHY na wala hajawahi kurudi kabisa SHY. DHULUMA nyingine zinaweza kumfanya mtu afanye lolote lile, lakini hili la Shelembi V Massele SHY mimi ninaona ulikuwa uchakachuaji FUNGA KAZI kwenye uchaguzi wa 2010.

RIP Shelembi

Kweli kabisa mkuu. Uchakachuaji mwingine ni ule wa NYAMBARI NYANGWINE (CCM) Vs MWITA MWIKWABE WAITARA (CHADEMA) TARIME.
 
makongoro mahanga ni mwizi (wa kura).

nafikiri ndo mbunge anayeongoza kwa kuchukiwa na wananchi wa jimbo lake kuliko mbunge yoyote Tanzania.
Hii sasa ni chuki, wivu, husda, uongo na fitina zilizopita kipimo. Wangemchaguaje Mahanga miaka 15 kama wanamchukia kiasi hicho? Tena nasikia mwaka 2000 na 2005 ndiye aliyeongoza kwa kupata kura nyingi kuliko mbunge yeyote TZ. Lakini sisi zamani tulikuwa tunaishi maeneo ya tabata, kabla ya kuhama. Hali ya miundombinu ilikuwa mbaya ajabu kwenye jimbo hili. lakini nimepitapita sana kwenye jimbo hilo siku za karibuni sijaamini macho yangu. Mahanga kafanya kazi nzuri ajabu, hasa kwenye barabara jimboni kwake. Kutoka tabata kupitia segerea, kinyerezi hadi majumba sita ni lami tupu, kule tabata hadi kimanga ni lami, kiwalani bombom hadi kijiwe samli watu walikuwa wanavuka madimbwi kwa kubebwa kwenye mikokoteni, sasa ni lami tupu, jet corner kuelekea vituka ni lami tupu, banana kuelekea kipunguni na kitunda ni lami tupu. Buguruni sokoni, mnyamani hadi vingunguti ni lami tupu, nyerere road hadi daraja la vingunguti ni lami, daraja la vingunguti limekuwa mkombozi wa wananchi wa maeneo hayo yote hasa majuzi wakati wa mafuriko. Yote haya ni kazi ya mahanga. Labda wewe kama unataka mahanga awe anakuja nyumbani kwako kumpakata mkeo, labda utamlaumu, lakini kwa kazi, hakuna mkazi wa segerea mwenye akili timamu atamsema vibaya. Hata waliomnyima kura 2010 hawakumnyima kwa kushindwa kazi, bali siasa chafu tu za upinzani, na wengine walisema hawezi kuwa mbunge miaka 15, ati wengine kwani hawapo?
 
Huyu Makongoro Mahanga si ndie alikutwa akikimbia na masanduku ya kura usiku wa manane na mkitambi wake? Yule Maselle Anaroho mbaya, alipoona Kamanda Shilembi anaelekea kushinda akamuendea kwa Sangoma. R.I.P Kamanda Shilembi!
Chadema mmezidi uongo, uzushi na uvumi! Ati toka Mahanga alipokamatwa tabata kimanga hadi kituo cha buguruni polisi, akalala huko hadi kesho yake jioni, ati hata picha ya mwandishi au mwana chadema, hata kwa kutumia simu HAKUNA! Mbona mpendazoe au huyo advocate wake hawakuweka suala la mahanga kukamatwa na masanduku kwenye charge sheet yao? Wao wanajua ni uvumi. Anyway, nadhani hili tuliache mahakama iamue. Uongo wenu ndiyo maana juzi juzi nilisoma kwenye gazeti moja mahanga akilalamika kwamba mnamsingizia kwamba baa ya nyantare tabata ni yake, kumbe hata mwenye baa hamjui hata kwa sura. Mnadhani uongo, uzushi na uvumi utawapeleka Ikulu nyie Chadema? Over our dead bodies!
 
Ntabaliba V/s ........alimuibia mgombea wa CDM, ikumbukwe Kigoma katika majimbo 8 CCM kihalali walishinda jimbo moja tu la Mh. Kijiko huko Mhambwe, otherwise majimbo 7 yangekuwa upinzani lakini si haba upinzani ulichukua 5
Jimbo lingine Karagwe ambalo mshindi toka CCM hadi leo anaogopa kurudi kwao.
Zambi V/s Mwapamba wa CDM
 
Back
Top Bottom