East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Kuna wizara chache ambazo ndizo tumeungana katika mmungano.Hivyo wabunge wa Zanzibar waruhusiwe kuhudhuria na kulipwa posho vikao hivyo tu vinavyohusu wizara za kimuungano.Hizo zingine wasihudhurie kabisa maana haziwahusu kama vile ambavyo wizara zao zilizoko kule Zanzibar sizizo za kumuungano ambavyo haihusu Tanzania bara.
Pia iwe marufuku wabunge wa Zanzibar kushiriki kujadili na kupitisha miswada ya Sheria inayohusu mambo ya Tanzania Bara tu.
Pia mijadala ya bunge iwe inaanza na wizara za Muungano zikishamalizika wabunge wa Zanzibar waondoke wapande meli au ndege warudi zanzibar waache wabunge wa Bara waendelee na mijadala ya wizara zao zinazohusu mambo ya bara tu.
Pia iwe marufuku wabunge wa Zanzibar kushiriki kujadili na kupitisha miswada ya Sheria inayohusu mambo ya Tanzania Bara tu.
Pia mijadala ya bunge iwe inaanza na wizara za Muungano zikishamalizika wabunge wa Zanzibar waondoke wapande meli au ndege warudi zanzibar waache wabunge wa Bara waendelee na mijadala ya wizara zao zinazohusu mambo ya bara tu.