Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Mkuu unaonekana hujamwelewa. Jifunze kwanza muundo wa muungano ndipo utaweza kuelewa anachokisema mtoa mada.Pamoja na kwamba title yako inaleta matiki, siiungi mkono kwa sababu tutaishia kuwaambia na wabungue wasijadili maswala yasiyotoka majimboni kwao.