CCM signature mbili tu duh!
Mkuu, mbunge wangu yuko mjengoni ila ni gamba gumu mwanzo mwisho, ni mtu wa aina ya " zidumu fikra za mwenyekiti"!. Ni mtu wa kujali maslahi binafsi na ku-preserve status quo. Hivyo basi sina matumaini hata kidogo ya yeye kushiriki ktk hii mission ya kumng'oa PM na mawaziri wengine viwavi.MNYISANZU kwan Mbunge wako hayupo mjengoni?
WanaJF habari za asubuhi.
Wakuu mimi ninamtazamo tofauti kidogo kuhusu kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Ni kweli kuwa bunge linauwezo wa kupiga kura kwa pm lakini pia wanauwezo wa kupiga vote of no confidence hata kwa president.
Sasa wasiwasi wangu hivi hata waziri mkuu akijiuzulu hivi kutakuwa na mabadiliko ya kiutendaji kama Rais atabaki huyuhuyu?
Mimi sioni kama kutakuwa na mabadiliko kama tutabaki na mkwe.re akiwa president. Mimi nionavyo chanzo cha utendaji mbovu wa serikali ni rais mwenyewe hata pm nguvu yake inategemea sana mkuu wa kaya yupoje. Coz siyo pm anatoa msimamo fulani afu anaambiwa kwa nini umefanya hivyo. Kwani rais hajui ubadhirifu unaofanywa na mawaziri wake aaa wapi anajua na yeye mwenyewe anashiriki. Ubadhirifu uliopo nchini sasa mtandao ambao unaanzia ikulu hadi wilayani.
Hivyo mimi ningekuwa Zito nivema kupiga ya kutokuwa na imani na Rais kuliko kumpigia PM ili tufanye mabadiliko ya rais kabisa kwa kufanya uchaguzi upya.
Huu ni mtazamo wangu nipo tayari kurekebishwa.
Mkuu umesema yaliyokweli kabisa,kwasababu ukitaka kuung'oa mti lazima uanzie kwenye mzizimkuu otherwise utaakuwa unaproon matawi ambapo bado mti huo utachipua tena. Ila mimi nachokiona hapa nikwamba watanzania hatuna uthubutu, we are never daring to take risk and thus why we are at risk!