MVENGEVENGE
Senior Member
- Sep 15, 2011
- 158
- 37
Tusubiri makamanda wako kazini watajuza!na huyo jeykey je?
Tusubiri makamanda wako kazini watajuza!na huyo jeykey je?
Duh mbona raha wadau! aachie ngazi tu mtoto wa mkulima FISADI
Duh mbona raha wadau! aachie ngazi tu mtoto wa mkulima FISADI
labda TBC taifa.huku TBC wanatukumbusha machungu ya mabwepande.Ni TBC 1 au TBC Taifa?
acha uzushi mkuu. Unaaibisha JF kwani tupo makini toka asbh tunafuatilia bunge na toka liishe hakuna taarifa ya habari iliyosomwa. So, sii kweli kua Pinda ataongea baadaye TBC kwani hakuna kilichotangazwa hadi sasa. Don't waste time of others for childish jokes like this again!
Kuna raha gani hapo?
Lowassa alipoachia ngazi mambo yalibadilika?
Wabongo bana. Hata hamjui mnachokita.