Rais kama Kocha, Mawaziri kama Wachezaji: Vipi Wachezaji Wanamsifu Kocha na Watazamaji Wanamsifu Kocha na sio Wachezaji?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,800
71,222
Kuna jambo linampasa Rais aangalie kwa makini kuhusu hii timu yake inayomsaidia yaani mawaziri.
Sasa hivi Waziri akisimama kuzungumza au kuandika makala, robo tatu ya maelezo yake ni kumsifu Rais na kumpongeza tu tena pongezi nyingi zikiwa zimeambatana na UONGO WA WAZI.

Wananchi nao wanamsifia kocha mkuu (Rais) na sio wachezaji wake kwa hayo mafanikio ambayo ni matatu kati ya kila mambo kumi.

Tumkumbushe mheshimiwa Rais, kwamba akiona mchezaji wake (waziri) anatumia nguvu nyingi kumsifia kocha (Rais) na hakuna tija binafsi basi huyo analinda nafasi yake yakuwa katika first eleven na sio zaidi ya hapo.

Na ni kuwa kamdharau Rais kuwa anaendekeza sifa hivyo hataweza kuona utendaji mbovu alionao!
Jee mheshimiwa anaendekeza Sifa kama hawa mawaziri wanavyo amini?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Chezea tumbo weye ! Nilimuona na kumsikia Profesa Mkenda akimsifia Rais, "Tunampongeza rais kwa kutuletea ........
Duu ! Hata profesa anatetea tumbo lake ! uongozi mzuri bhanaaa !
 
Chezea tumbo weye ! Nilimuona na kumsikia Profesa Mkenda akimsifia Rais, "Tunampongeza rais kwa kutuletea ........
Duu ! Hata profesa anatetea tumbo lake ! uongozi mzuri bhanaaa !
Hata wale waliokuwa wanabebwa kwa mbeleko ya JPM kama Ummy Mwalimu sasa hivi hawataki kabisa kumtaja JPM bali huyu!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kuna jambo linampasa Rais aangalie kwa makini kuhusu hii timu yake inayomsaidia yaani mawaziri.
Sasa hivi Waziri akisimama kuzungumza au kuandika makala, robo tatu ya maelezo yake ni kumsifu Rais na kumpongeza tu tena pongezi nyingi zikiwa zimeambatana na UONGO WA WAZI.

Wananchi nao wanamsifia kocha mkuu (Rais) na sio wachezaji wake kwa hayo mafanikio ambayo ni matatu kati ya kila mambo kumi.

Tumkumbushe mheshimiwa Rais, kwamba akiona mchezaji wake (waziri) anatumia nguvu nyingi kumsifia kocha (Rais) na hakuna tija binafsi basi huyo analinda nafasi yake yakuwa katika first eleven na sio zaidi ya hapo.

Na ni kuwa kamdharau Rais kuwa anaendekeza sifa hivyo hataweza kuona utendaji mbovu alionao!
Jee mheshimiwa anaendekeza Sifa kama hawa mawaziri wanavyo amini?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Utawasikia mama katoa hela bilioni kadhaa utadhani katoa mfukoni mwake wakati hela hii tunaitoa sisi wenyewe kupitia kodi na tozo mbalimbali kutoka kwenye raslimali za nchi, ingependeza wangekuwa wanasema serikali imetoa kiasi fulani,uraisi ni taasisi na si maamuzi ya mtu mmoja, yaani hotuba haisomwi bila kutaja jina binafsi la raisi tena si mara moja ,kwenye shughuli hiyo hiyo moja waziri atataja jina la raisi,atakuja mkuu wa mkoa nae lazima ataje jina la raisi, atakuja mkuu wa wilaya,diwani,mbunge. watendaji na wakuu wa vitengo nao ni hivyo hivyo na haya mapambio ni kila kona ya nchi hadi unashangaa haya mambo yanakuwa kama hisani badala ya kuwa ni wajibu kwa wananchi. Pia ni nchi za kiafrika zinapenda sana kusifia viongozi wao utawasikia His/Her Excellency wenzetu utawasikia wakiwaita maraisi wao Mr President/Madam President.
 
Katiba ikiwa yahovyo inafanya wananchi woote kuwa chawa wa rais naye anakuwa MTAWALA asiyeambilika
*Alitokea alisema msiponipa kura maendeleo sahau na tuliyaona.
*Akafukuza watu kazi kihuni Kwa chuki zake.
  • Akajenga Kila alichotaka kijijini kwake kama Mobutu
  • Akatiisha maisha maaskofu waliomkosoa.
  • Akatukana wazee wazoefu wastaafu waliomshauri kuwa wanawashwa
  • Akateka,akatesa na wengine kuwapiga risasi mchana kweupe
  • Akaliongoza bunge na kuiamuru mahakama Kwa kusema yeye ndo yeye.
*Akafuta mchakato wa katiba nayeye kuwa ndo katiba MPYA Nk...Nk.
Leo unashangaa Nini watu kuwa waoga na kumsifu Kwa kujimaliza yule MTAWALA palejuu?? MTAWALA mwanamke vidume vinasifu mpaka mate yanaruka
Kenya uchumi unapata lkn husikii kilamtu akimsifi rais! Nivile wanakatiba yenye kumpa mwafrika/mwananchi heshma.
 
Kuna jambo linampasa Rais aangalie kwa makini kuhusu hii timu yake inayomsaidia yaani mawaziri.
Sasa hivi Waziri akisimama kuzungumza au kuandika makala, robo tatu ya maelezo yake ni kumsifu Rais na kumpongeza tu tena pongezi nyingi zikiwa zimeambatana na UONGO WA WAZI.

Wananchi nao wanamsifia kocha mkuu (Rais) na sio wachezaji wake kwa hayo mafanikio ambayo ni matatu kati ya kila mambo kumi.

Tumkumbushe mheshimiwa Rais, kwamba akiona mchezaji wake (waziri) anatumia nguvu nyingi kumsifia kocha (Rais) na hakuna tija binafsi basi huyo analinda nafasi yake yakuwa katika first eleven na sio zaidi ya hapo.

Na ni kuwa kamdharau Rais kuwa anaendekeza sifa hivyo hataweza kuona utendaji mbovu alionao!
Jee mheshimiwa anaendekeza Sifa kama hawa mawaziri wanavyo amini?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mfumo mbovu hotuba nzima ni kusifu mpk inakera
 
Katiba ikiwa yahovyo inafanya wananchi woote kuwa chawa wa rais naye anakuwa MTAWALA asiyeambilika
*Alitokea alisema msiponipa kura maendeleo sahau na tuliyaona.
*Akafukuza watu kazi kihuni Kwa chuki zake.
  • Akajenga Kila alichotaka kijijini kwake kama Mobutu
  • Akatiisha maisha maaskofu waliomkosoa.
  • Akatukana wazee wazoefu wastaafu kuwa wanawashwa
  • Akateka,akatesa na wengine kuwapiga risasi mchana kweupe
  • Akaliongoza bunge na kuiamuru mahakama Kwa kusema yeye ndo yeye.
Akafuta mchakato wa katiba nayeye kuwa ndo katiba MPYA Nk...Nk.
Leo unashangaa Nini watu kuwa waoga na kumsifu Kwa kujimaliza yule MTAWALA palejuu??
Kenya uchumi unapata lkn husikii kilamtu akimsifi rais! Nivile wanakatiba yenye kumpa mwafrika/mwananchi heshma.
Tuna katiba ya kijinga sn
 
Utawasikia mama katoa hela bilioni kadhaa utadhani katoa mfukoni mwake wakati hela hii tunaitoa sisi wenyewe kupitia kodi na tozo mbalimbali kutoka kwenye raslimali za nchi, ingependeza wangekuwa wanasema serikali imetoa kiasi fulani,uraisi ni taasisi na si maamuzi ya mtu mmoja, yaani hotuba haisomwi bila kutaja jina binafsi la raisi tena si mara moja ,kwenye shughuli hiyo hiyo moja waziri atataja jina la raisi,atakuja mkuu wa mkoa nae lazima ataje jina la raisi, atakuja mkuu wa wilaya,diwani,mbunge. watendaji na wakuu wa vitengo nao ni hivyo hivyo na haya mapambio ni kila kona ya nchi hadi unashangaa haya mambo yanakuwa kama hisani badala ya kuwa ni wajibu kwa wananchi. Pia ni nchi za kiafrika zinapenda sana kusifia viongozi wao utawasikia His/Her Excellency wenzetu utawasikia wakiwaita maraisi wao Mr President/Madam President.
Ni wajinga haswa
 
Katiba ikiwa yahovyo inafanya wananchi woote kuwa chawa wa rais naye anakuwa MTAWALA asiyeambilika
*Alitokea alisema msiponipa kura maendeleo sahau na tuliyaona.
*Akafukuza watu kazi kihuni Kwa chuki zake.
  • Akajenga Kila alichotaka kijijini kwake kama Mobutu
  • Akatiisha maisha maaskofu waliomkosoa.
  • Akatukana wazee wazoefu wastaafu waliomshauri kuwa wanawashwa
  • Akateka,akatesa na wengine kuwapiga risasi mchana kweupe
  • Akaliongoza bunge na kuiamuru mahakama Kwa kusema yeye ndo yeye.
*Akafuta mchakato wa katiba nayeye kuwa ndo katiba MPYA Nk...Nk.
Leo unashangaa Nini watu kuwa waoga na kumsifu Kwa kujimaliza yule MTAWALA palejuu?? MTAWALA mwanamke vidume vinasifu mpaka mate yanaruka
Kenya uchumi unapata lkn husikii kilamtu akimsifi rais! Nivile wanakatiba yenye kumpa mwafrika/mwananchi heshma.
Wew pimbi zungumzia na ujenzi bwawa la umeme, ikulu, Barabara n.k

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Wasomi na professionals wamegeuka machawa kwa waliowateua. Hawana muda na shida zetu sisi wananchi.
 
Wanatia kinyaa sana , tumekua na nchi ya majitu ya hovyo yasiyotaka kuwajibika yanaishia kupiga uchawa tu, na mkuu wao alivyo mjinga nae haoni kama kuna tatizo
 
Utawasikia mama katoa hela bilioni kadhaa utadhani katoa mfukoni mwake wakati hela hii tunaitoa sisi wenyewe kupitia kodi na tozo mbalimbali kutoka kwenye raslimali za nchi, ingependeza wangekuwa wanasema serikali imetoa kiasi fulani,uraisi ni taasisi na si maamuzi ya mtu mmoja, yaani hotuba haisomwi bila kutaja jina binafsi la raisi tena si mara moja ,kwenye shughuli hiyo hiyo moja waziri atataja jina la raisi,atakuja mkuu wa mkoa nae lazima ataje jina la raisi, atakuja mkuu wa wilaya,diwani,mbunge. watendaji na wakuu wa vitengo nao ni hivyo hivyo na haya mapambio ni kila kona ya nchi hadi unashangaa haya mambo yanakuwa kama hisani badala ya kuwa ni wajibu kwa wananchi. Pia ni nchi za kiafrika zinapenda sana kusifia viongozi wao utawasikia His/Her Excellency wenzetu utawasikia wakiwaita maraisi wao Mr President/Madam President.
Mtindo wa kusifia ulianza kipindi cha mwenda zake na sasa mwendelezo tu. Shida nikuona wanaosifiwa (anayesifiwa) yupo tulii ,hajui kuwa wanaomsifia wanafanyahivyo ili kumpumbaza asijikite kupembua uovu na udhaifu wao. Mfano, hotuba za wawakilishi wetu majimboni na viongozi wateule wa Raisi hutumia muda mwingi sana kutaja jina na cheo cha mkuu wa nchi kuliko shida na sifa za kazi wanazomwakilisha. Inakera sana
 
Back
Top Bottom