Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
yangoswe muachie ngoswe unataka umaarufu humu jamvini kwa kujipaka kinyesi walichokitoa wenyewe wa wanakitemea mate nakukikunjia pua puuuuuuptuuuuuuuuuuuuuu
Atubela, wewe mwenyewe haurudi humu baada ya 2015
Mkuu mimi naona ungekamilisha list kama ungemaliza na Mhe. Mbowe, huyu jamaa wananchi wa Hai walikuwa hawajui kama kala sifuri kidato cha sita (6), sasa wamejua na wamechachamaa kwelikweli, wamesema hata awape Bilicans bungeni awamrudishi.
Tuwekee vigezo ulivyotumia ambavyo vimepelekea wewe kufikia hitimisho lako...
sugu elimu ya form two
"mission accomplished : leo ndio tumemaliza ziara baada ya kupita chunya, mbeya mjini, kyela, kiwira na mbarali na kufanya mikutano mikubwa...tumekubaliana na wananchi kote kuwa ndugai akizingua tena ni kukomaa naye yeye mwenyewe na sio askari tena..."
Huyu ni Mbunge na Muwakilishi wa wananchi ambaye unategema ataleta maendeleo jimboni kwake na nchini?AKili yake muda wote inawaza mambo kama haya,
Vyama kama CHADEMA vinavyoleta wabunge wenye uwezo finyu na hafifu wa kufukiria kuhusu amani ya nchi,maendeleo ya Taifa na utekelezaji wa ilani ya chama chao hatuna haja nao tena,Tumekosea awali,uchaguzi ujao wasiambulie hata kura moja.
Yaani Mbunge ameamua kuanika Siri ya CHADEMA kuwa wamekubaliana kuwa waanzishe fujo bungeni na wadeal na Job Ndugai.
Dr.slaa unafuga watu kama hawa?
Mbowe unafuga watu kama hawa?
Ni kitendo cha kuita na kuwatoa unyago wa kisiasa mara moja,angalau akili zao ziweze kujiongeza kuhusu maendeleo ya nchi hii.
DR.SLAA UMEONGOZA HIYO ZIARA NA UMEKUBALIANA NA WANACHI UPUUZI HUU>?AU MBUNGE WAKO HAJITAMBUI?
Bavicha ni tatizo kubwa kwa taifa.Wewe na mkeo/mumeo/babako/mamako ndo mnafugwa. CDM wanajitambua hafugwi mtu pale wote wana mawazo huru poleni wana wote mfugwao na Kninana aka kaa mbali na tembo alias alshaabab!
Hawa ndio wabunge wa mfano.....Sijawahi kuona wabunge wa ajabu kama hawa wa cdm mbunge anapigana du!