Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Mzigo Shekifu wa Lushoto
Mzigo Mgimwa wa Mufindi
Mzigo mgimwa wa kalenga
Mzigo Rizimoko wa Chalinze
Hawa wapigwe ban ya mjengoni kabisa!
 
1.Bi Kiroboto aka Madam Spika.
2. Maji marefu
3. Lowassa
4. Mary Nagu
5. Job Lusinde
6. Vicky Kamata
7. Lukuvi
8. Ngeleja
9. Membe
10. Wassira
11. Nyalandu
12. Wabunge wote ambao walikuwa MABUBU aka MIZIGO kwa wananchi!
 
Prof Anna Tibaijuka na hela zake za mchicha sijui dagaa...
 
Chitanda, aden rage, deo sanga, mbunge wa mtera kibajaji, huyu bibi anayekuwa mwenyekiti sasa hivi, said mtanda, riz one, sophia simba, hawa ghasia, zakia, rose migiro, pindi chana, anne kilango huyu sema mdomo umepungua, kwa kuanzia ni hawa, siongezi neno maana nitapigwa ban ya maisha nikisema lililopo mdomoni kuhusu hwa watu
 
Nia ni kuing'oa SISIEM madarakani,
lakini haya majembe ningependa yawepo tena bungeni
1. Deo Filikunjombe
2. Ester Bulaya
3. James Lembeli
 
Mimi ni kamanda lakini kuna wabunge wangu wengine huwa siwaelewi.........kama Grace Kiwelu huwa faida yake pale bungeni ni nini.........?.......

Nimeuliza tu...........

mashishanga ndiyo kabisa...akichangia hoja anakuwa shaghala baghala. Hajui kutarget...she needs a mentor.
 
saleh pamba wa pangani jamaa sijui kenda kuuchpa tu ucngizi na kupga posho za serikali nakuonza ile idadi ya ndioooooooooo% huku wilaya yake haina barabara ya lami hata moja pamoja kuwa imepakana na wilaya zaid yambili ikiwmo tanga mjini.mwingine riziii moko mdingi anasepa ilembleko kwishnei utendji mbovu ciaxa mbovu tukutne Oktober
 
Lissu,Mbowe,Mnyika,Jambazi Leema,na wala kaya wengine kina sugu wanahusika hapa

Unaonekana unafurahishwa na Lusinde, Rage, Mch Lwakatare, Shekifu, Maji Marefu, Wassira, Lowassa, Chenge, Tibaijuka na mabubu wengine kutoka chama chako eeh, kama hao ni wabunge wako bora na unataka warudi bungeni basi chukua like nchi iko salama,
 
Ningependa kuona Esther Bulaya akirudi bungeni na hasa akiwa upinzani...she is too inteligent to be in ccm.

I will be disapointed to see Nkamia-Kondoa, Mshama, Aesh-sumbawanga na maccm wengine wengi
Aeshi Hillary kwakweli asiruidi, anachangia anatetemeka, sijui mle ndani kuna baridi kali kuliko la sumbawanga,
 
Unaonekana unafurahishwa na Lusinde, Rage, Mch Lwakatare, Shekifu, Maji Marefu, Wassira, Lowassa, Chenge, Tibaijuka na mabubu wengine kutoka chama chako eeh, kama hao ni wabunge wako bora na unataka warudi bungeni basi chukua like nchi iko salama,

Lissu,Mbowe,Mnyika,Lema, wasingekuwepo hawa bungeni nadhani kungekuwa ni kulala kama kina wasira
 
Lissu,Mbowe,Mnyika,Lema, wasingekuwepo hawa bungeni nadhani kungekuwa ni kulala kama kina wasira

CCM wamezoea kulala na kuiba sasa wakipelekwa puta na vijana wa chadema wanaomba miungu yao wasirudi bungeni, ndio maana kuna wakati walipinga bunge kuwa "live" presha ilizidi. Na bado bunge lijalo moto utawaka mara 100 ya huu
 
Kwa kusoma hansard. Wabunge wote waliowahi kugoma kuchangia mada za kimapinduzi kupelekea zikashindea kupita.
Wabunge wote waliowahi kuchangia kukandamiza mada za kimaendeleo
Wabunge wote waliowahi kugoma kuchangia mada za kuangamiza ufedhuli
Wabunge wote waliowahi kuchangia kusaidia mapendekezo kutetea wizi udhaifu ubadhirifu uzembe
Wabunge wote walio neutral ambao hawano moto wa kimapinduzi ambao wako baridi.
Wabunge wote wanaodhani pesa wanazogawa ndio alama au kipimo cha maendeleo na wameshindwa kutumia wataalamu waliopo jimboni kuleta mabadiliko wanaishia kuomba na kushukuru tu bungeni.
 
Binafsi nadhani ni muda sasa tubadilishe rangi ya nyumba yetu au engine ya gari japo tumezowea na viraka vyote tumeshawahi kuweka ni muda sasa tukubali tuanze tununue pazia jipya. Ni muda sasa tubadili engine nzima kama bado tunailenda gari tutaingia gharama ila tutapata kitu kipya
 
CCM wamezoea kulala na kuiba sasa wakipelekwa puta na vijana wa chadema wanaomba miungu yao wasirudi bungeni, ndio maana kuna wakati walipinga bunge kuwa "live" presha ilizidi. Na bado bunge lijalo moto utawaka mara 100 ya huu

lazima kieleweke,
 
Aeshi Hillary kwakweli asiruidi, anachangia anatetemeka, sijui mle ndani kuna baridi kali kuliko la sumbawanga,

Dodo drop out wa darasa la sita. alibebwabebwa tu....hata alipofika pale hajui
 
Lowasa hagombei tena ubunge, Atakuwa Rais wako baada ya oktoba, kwahiyo, jikite kwenye mada husika.

wanaomsapoti lowasa hawana sababu zozote za msingi za kwa nini awe rais. Money talks.
Huhaji kwa sasa kuabiwa kuwa lowasa ni mgonjwa. JAMAA AMELEGHEA SANA MPAKA KINYAA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom