Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Kwa utashi wetu na kwa maslahi mapana ya nchi kuna wabunge ndani ya bunge letu la awamu hii wameonyesha kuwa na kiwango cha chini sana cha uelewa wa mambo na hata ushiriki wao wa mijadala bungeni umekua hafifu sana, kwa ukurasa huu tujadili watu hawa bila ushabiki wa vyama na bila upenzi wa vyama ili kutokurudia makosa ktk uchaguzi ujao wa uktobar,kuna wabunge wamewaangusha wapiga kura wao ktk maeneo mengi, ni wapi mbunge wako au wa eneo jingine amewaangusha wapiga kura wake au ametuangusha sote kama taifa.

Godbless J Lema hatakiwi arudi mjengoni. Ni mbunge tapeli ameumiza wengi sana
 
Last edited by a moderator:
Mada imekosa maana ifutwe tu uchama umetawala. Wabunge wazalendo walijulikana wakati wa mjadala wa escrow. Walikuwepo wa CCM na upinzani pia.
 
MaCCM woote pamoja na Zitto Kabwe

Ningependa kuona Esther Bulaya akirudi bungeni na hasa akiwa upinzani...she is too inteligent to be in ccm.

I will be disapointed to see Nkamia-Kondoa, Mshama, Aesh-sumbawanga na maccm wengine wengi
 
Mimi ni kamanda lakini kuna wabunge wangu wengine huwa siwaelewi.........kama Grace Kiwelu huwa faida yake pale bungeni ni nini.........?.......

Nimeuliza tu...........
 
Lowasa,shekifu,rage,lakairo na mwigulu hawa ni wabunge mizigo
 
Mkuu Mungu amekutunuku akili nyingi sana, endelea kuzitumia kiweledi hivi hivi.
Asante.

Ametiwa ndani jioni hii huko arusha. Ananyea debe sa iv. Nawaomba polisi wamtoe baada ya zoezi la kuandikisha kwisha. Apelekwe kisongo na atakayeandamana wavunjwe miguu.
 
Ametiwa ndani jioni hii huko arusha. Ananyea debe sa iv. Nawaomba polisi wamtoe baada ya zoezi la kuandikisha kwisha. Apelekwe kisongo na atakayeandamana wavunjwe miguu.

Alichokuwa anakitafuta amekipata. Umaarufu Kupitia CHADEMA haukui bila kuwekwa RUMANDE.
 
Ametiwa ndani jioni hii huko arusha. Ananyea debe sa iv. Nawaomba polisi wamtoe baada ya zoezi la kuandikisha kwisha. Apelekwe kisongo na atakayeandamana wavunjwe miguu.

Utaomba sana mwaka huu lakini unachota maji kwenye gunia.
 
manyanya, rage, maji marefu, serukamba,kibajaji, mng'ong'o.
 
Livingstone Lusinde...kabadili bunge kuwa sehemu ya mipasho, anakubali hoja kwa ushabiki, matusi na lugha zisizofaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom