Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
lema hasitahiki kurudi bungeni. Lisu anastahili
(nimetaja chama kimoja msijekusema nimeangalia vyama).
&
kibajaji hastahiki kurudi bungeni. filikonjumbe anastahili.
 
Wanajamii forums ni Mbunge Gani Unahisi hawezi kushinda kiti chake cha Ubunge Katika uchaguzi mkuu?
 
Wanajamii forums ni Mbunge Gani Unahisi hawezi kushinda kiti chake cha Ubunge Katika uchaguzi mkuu?

Simbachawene ameshapoteza Ubunge wake katika jimbo la Kibakwe Engineer Gabriel Mwikola ndiye anatarajiwa kuwa mbunge mpya
 
Baada ya kukaa bungeni kwa mda ya miaka mitano bila kuwa na tija yoyote... wabunge wafuatayo wa upinzani wataonja joto kubwa kwenye kutetea nafasi za kurudi mjengoni kama ifuatavyo.....


  1. DAVID SILINDE.....
  2. SALVAORY MACHEMULI
  3. HYNES KIWIA
  4. PROF KAIGI
  5. MBASA
  6. MESHACK OPOLUKWA
  7. MH. KASULUMBAI
  8. DADA MDEE
  9. MZEE SHIBUDA
  10. SAID ARFI
 
Kwa utashi wetu na kwa maslahi mapana ya nchi kuna wabunge ndani ya bunge letu la awamu hii wameonesha kuwa na kiwango cha chini sana cha uelewa wa mambo na hata ushiriki wao wa mijadala bungeni umekuwa hafifu sana.

Kwa ukurasa huu tujadili watu hawa bila ushabiki wa vyama na bila upenzi wa vyama ili kutokurudia makosa ktk uchaguzi ujao wa oktobar,kuna wabunge wamewaangusha wapiga kura wao ktk maeneo mengi, ni wapi mbunge wako au wa eneo jingine amewaangusha wapiga kura wake au ametuangusha sote kama taifa.
 
Kwa utashi wetu na kwa maslahi mapana ya nchi kuna wabunge ndani ya bunge letu la awamu hii wameonyesha kuwa na kiwango cha chini sana cha uelewa wa mambo na hata ushiriki wao wa mijadala bungeni umekua hafifu sana, kwa ukurasa huu tujadili watu hawa bila ushabiki wa vyama na bila upenzi wa vyama ili kutokurudia makosa ktk uchaguzi ujao wa uktobar,kuna wabunge wamewaangusha wapiga kura wao ktk maeneo mengi, ni wapi mbunge wako au wa eneo jingine amewaangusha wapiga kura wake au ametuangusha sote kama taifa.

Rose Camil sijui kaenda kumuwakilisha nani Pale Bungeni. yafanywe maamuzi magumu ya kutompendekeza tena hata kama mumewe atachukia.maslahi ya taifa yatangulizwe kwanza mahaba yawekwe kando
 
Wale wote waliochukuwa mafao ya milioni 230.
 
Rose Camil sijui kaenda kumuwakilisha nani Pale Bungeni. yafanywe maamuzi magumu ya kutompendekeza tena hata kama mumewe atachukia.maslahi ya taifa yatangulizwe kwanza mahaba yawekwe kando

Rose Camili ni mzuri sana ila aliumizwa vibaya iringa uchaguzi mdogo. Amekuwa muda anahudhuria matibabu India.
 
yale mabubu yte bila kuangalia itikadi.alafu wabunge wengi hawana mchango wakuishauri serikali ni kulalamika nakupongez
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom