Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
Yule aliyetolewa bungeni kwa Tanganyika jeki na yule aliyekuwa anachapa usingizi kwa kwenda mbele teh teh:flame:
 
Nia ni kuing'oa SISIEM madarakani,
lakini haya majembe ningependa yawepo tena bungeni
1. Deo Filikunjombe
2. Ester Bulaya
3. James Lembeli

4. Peter Sserukamba
5. Chris Ole Ssendeka
6. Kangi Lugora
7. Keissy
 
Lameck Okambo Airo. Tangu aingie Bungeni hajachangia chochote.
 
Kwa utashi wetu na kwa maslahi mapana ya nchi kuna wabunge ndani ya bunge letu la awamu hii wameonyesha kuwa na kiwango cha chini sana cha uelewa wa mambo na hata ushiriki wao wa mijadala bungeni umekua hafifu sana, kwa ukurasa huu tujadili watu hawa bila ushabiki wa vyama na bila upenzi wa vyama ili kutokurudia makosa ktk uchaguzi ujao wa uktobar,kuna wabunge wamewaangusha wapiga kura wao ktk maeneo mengi, ni wapi mbunge wako au wa eneo jingine amewaangusha wapiga kura wake au ametuangusha sote kama taifa.

Tupilia shimoni hawa:-
1. Assumpta Mshama
2. Ismail Aden Rage
3. Aakonay Mustapha
4. Salehe Pamba
5. Hawa Ghasia
6. Lyatonga Mrema
7. Yule aliyekata kiuno bungeni mwishoni mwa BMK.
8. Chameleon Shibuda

Wako mazuzu wengine wengi wachumia tumbo hata ndani ya kambi ya upinzani!
 
Asumpta na Lusinde....na wengine wote wanatetea ufisadi.
 
Kuna Huyu Jamaa Anaitwa Keissy Sio Mbunge Wa Chama Changu Lakini Anafaa Sana Kurudi Ni Msemakweli Na Siku Zote Ukweli Unawauma Hadi Wao Wenyewe.Na Hiyo Ndio Siasa Hakuna Kuchagua Rafiki Wala Adui.
 
MaCCM woote pamoja na Zitto Kabwe

ww tuliaa bunge bila zitto ni sawa na basi bila derevaa. mambo hayaendii. uwepo wa zitto bungeni ni muhimu kuliko unavyofikiriaa. watz wote wenye mapenzi mema na tz tunahitaji mmoja wapo wa wabunge watakao rudi bungeni na zitto awepoo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom