bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Mi nahisi tu wabunge hawa ndo mwisho wao msimu huu kwakweli
1.Godbless Lema-maandamano mbele maendeleo nyuma
2.Agustino Mrema-Kukosa sera na uwakilishaji wakimantiki
3.Halima Mdee-kufata upepo na Kukosa ushahidi wa hoja zake
4.Steven Wassira-ushindani mkubwa kwa ester bulaya
5.George Simbachawene-ubinafsi na majigambo kwa wapiga kura wake
nipe mawazo yako unaohisi hawatakuwepo
1.Godbless Lema-maandamano mbele maendeleo nyuma
2.Agustino Mrema-Kukosa sera na uwakilishaji wakimantiki
3.Halima Mdee-kufata upepo na Kukosa ushahidi wa hoja zake
4.Steven Wassira-ushindani mkubwa kwa ester bulaya
5.George Simbachawene-ubinafsi na majigambo kwa wapiga kura wake
nipe mawazo yako unaohisi hawatakuwepo