Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 187
- 334
Wana bodi siku ya jana kulizuka mjadala mkubwa wa kitaifa humu ndani kuhusiana na kauli nzito ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba ya kuwaita wabunge wajumbe wa Kamati ya Nishati ni wapuuzi kwa kuhoji suala la kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara nchini
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba kuyafahamu majina ya wabunge hao ambao ni wajumbe wa Kamati ya Nishati wanaoitwa wapuuzi na Waziri Makamba.
Ili nasi tuchambue huo upuuzi wao
Kwa heshima na taadhima kubwa naomba kuyafahamu majina ya wabunge hao ambao ni wajumbe wa Kamati ya Nishati wanaoitwa wapuuzi na Waziri Makamba.
Ili nasi tuchambue huo upuuzi wao