mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Yametimia. Nasubiri kwa shauku kubwa kusikia Tulia Akson akitangazwa kuwa Naibu Spika
Huyu siyo kwamba atakuwa waziri wa sheria na katiba?!
Yametimia. Nasubiri kwa shauku kubwa kusikia Tulia Akson akitangazwa kuwa Naibu Spika
Yeah,habari zipo muda sana humu na mitandao mingine Ukitaka soma hapa:-
Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli leo ameshusha lundo la tuhuma kwa naibu spika wa bunge na mgombea ubunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi ya CCM ndugu Job Ndugai, imethibitishwa.
Magufuli amemtuhumu Job Ndugai kwa kitendo chake cha kueleza hadharani kuwa anaiunga mkono kauli ya Edward Lowassa ya kuunda tume maalum kushughulikia migogoro ya wakulima na wafugaji jimboni humo.
Magufuli amesema kuwa kitendo hicho kinaonyesha jinsi ambavyo Job Ndugai asivyo na imani naye kama mgombea wa urais kupitia chama chake na wala asisingizie migogoro.
Aidha habari za ndani zilizopatikana jimboni humo ni kuwa Job Ndugai alikuwa miongoni mwa wana CCM walio na imani kubwa na Edward Lowassa ingawa kwa sasa hajaeleza msimamo wake baada ya Lowassa kuitosa CCM.
..................
Mimi nipo na timu ya watu wa ndani kabisa wa John Magufuli mikoani.
Link ya JF hii hapa: https://www.jamiiforums.com/uchaguz...hadharisha-kuunga-mkono-kauli-za-lowassa.html
Uwe mpole, mlianza kumpaka matope eti anatoa rushwa akamatwe na Takukuru.Acha umbayuwayu wewe alokudanganya Ndugai ni team Lowassa nani, ?? peleka akili ya Bavicha huko
Yametimia. Nasubiri kwa shauku kubwa kusikia Tulia Akson akitangazwa kuwa Naibu Spika
kwa wanaofatilia siasa Kinana ni swahiba mkubwa wa Lowasa na Dr Tuli lilikuwa chaguo la Magufu sasa kaangukia pua mtrule wa rais bado wabunge wa ukawa wameazimia kuhakikisha hahutubii Bunge huu Ni mwanzo mbaya kwa Dr Pombe Magufuli...
hongera Kinana, Hongera Lowassa....
Jidanganyeni, ni kinana ndo alomuita Lowassa kapi la CCM, UKAWA mnapenda kujipa mahope, ngoja kwanza Ndugai awabane wahuni wenu bungeni ndo mtajua CCM sio chama cha mchezo!
Uwe mpole, mlianza kumpaka matope eti anatoa rushwa akamatwe na Takukuru.
kwa wanaofatilia siasa Kinana ni swahiba mkubwa wa Lowasa na Dr Tuli lilikuwa chaguo la Magufu sasa kaangukia pua mtrule wa rais bado wabunge wa ukawa wameazimia kuhakikisha hahutubii Bunge huu Ni mwanzo mbaya kwa Dr Pombe Magufuli...
hongera Kinana, Hongera Lowassa....