Wabunge CCM wamempitisha Ndugai kugombea Uspika

Wabunge CCM wamempitisha Ndugai kugombea Uspika

Ndugai kama ni yule yule, bunge litamshinda...Kuna wakati alikuwa anazidisha hasira kwenye maamuzi (tolarance limit yake iko chini sana) hekima na busara ipo chini pia...

Nilitarajia kupitishwa. Namwonea huruma kwa kuwa bunge hili litakuwa la moto ile mbaya.
 
Ndugai kama ni yule yule, bunge litamshinda...Kuna wakati alikuwa anazidisha hasira kwenye maamuzi (tolarance limit yake iko chini sana) hekima na busara ipo chini pia...

na naomba ktk bunge hili awe na fimbo kabisa atakapokuwa bungen. Awe anafanya kama alivyofanya kwa yule mgombea
 
Ndugai kama ni yule yule, bunge litamshinda...Kuna wakati alikuwa anazidisha hasira kwenye maamuzi (tolarance limit yake iko chini sana) hekima na busara ipo chini pia...

Mkuu huyu JOB si ndio alimtwanga mpinzani wake kwa FIMBO kura za maoni CCM..
 
Maumivu gani jinsi ambavyo bunge lunaendeshwa bila ya kuzingatia haki na usawa ndivyo ambavyo mnazid ipaisha ukawa msijidanganye mkamjaza sifa akaenda ibeba ccm kma alivyofanya makinda mtajuta tena

kila siku wimbo uleule UKAWA unapaa unapaa, wakati hovyo kabisa, mtaisoma namba.
 
na naomba ktk bunge hili awe na fimbo kabisa atakapokuwa bungen. Awe anafanya kama alivyofanya kwa yule mgombea

Na aanze kumtandika Mnyika, yule yamaa anayependa kukusanya saini za Mabwana.
 
Wabunge machachari na wabishi( kwa point lakini)kama kina Lisu wajiandae kupigwa virungu na Ndugai kama alivyomtwanga fimbo mgombea mwenzake wakati wa kura za maoni. Jamaa uvumilivu wake upo chini sana
 
Maghufuli tunaomba Rudi muhimbili mshine ya MRI na T SCAN zimekufa
 
UKAWA mpooooo hesabuni maumivu!

.....maumivu siyo ya ukawa ni yawananchi wawakilishi wao wa fisiem wanaenda kuitikia ndioooooooo wakati wao wanakunywa maji bwawa moja na ng'ombe........
 
Ndugai nilimwona kwenye kura za Maoni ccm akimpiga mwenzie na rungu sijuwi yaliishia wapi, mnaona kwa hasira alizonazo hataweza kuendesha bunge la safari hii, nashangaa kinana kumtangaza mtu kama huyo,
Kilasi Mkuu mambo mengine ya uchaguzi yanatia hasira. Kwani hujui kwamba kulikuwa na watu mchana ccm usiku ukawa? Sasa yule aliyetandikwa fimbo mchana alikuwa ccm usiku ukawa ndo maana alipotaka kuleta kiherehere akapandisha mzuka wa mh. ndo akakatwa na rungu.
 
Job=kazi
anayejua maana ya ndugai atuwekee
 
Back
Top Bottom